hivi hii sio ile stori tulikuwaga tunadanganyaga sana utotoni kwamba carlos aliingiaga kwa malkia kupitia tundu la choo na akamlala? miaka ile kuna sumu nyingi sana tulimezeshwaga
Kweli mkuu mwaka 94 i was in std 1 na ndio hawa makuzi walipiga patrol shule nyingi sana za za msingi kuleta maafa na shuleni kwe2 mburahati walikuja na ku2chapa sana viboko na then kuiba mali.
Huku kwe2 kuna kundi la ukweli wanaitwa wazee wa cuf wapo masjid fulani hivi, hao ukiibiwa unaenda na buku 50 zako unawapa then unawatajia wahusika wako, wao wanaenda mpk kwao then wanamwita mbele ya wazazi wake wanaua palepale then wanaondoka ndani ya siku 1 tu waizi si chini ya watano wanaenda...
kwa taarifa yako mkuu kaburu a.k.a mzulu anamuogopa mbongo zaidi ya kifo. Wabongo 2napiga ngumi kaburu anategemea beto au mkwasa. Vijana wengi hapa mchomoko a.k.a wizi ndio mpango mzima safari yenyewe 2 ya kuunga unga na majanga ya njiani kupitia msumbiji ni zaidi ya mafunzo ya monduli so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.