Kwa wakata kiu, tupieni majina ya bar za zamani; Mie nakumbuka Mpilipili,Deluxe -Magomeni, Bingwa bar, Congo bar-Kkoo,Kingstar,White Inn,Bobs Motel, Queen of Sheba,Gaza one,Mori bar-Sinza...endelea.
Hatuna haraka ya kupata Katiba isiyo ya maridhiano. Hii nchi ni yetu sote. Vunja bunge la katiba tufanye chaguzi za serikari za mitaa na urais mwakani. Uongozi mpya usimamie upatikanaji wa Katiba ya wananchi si ya wanasiasa.
Big up le mutuz nimesoma ule Uzi uliokupambanisha na mbuta nanga .... ndiyo nikaelewa unachokifanya the wizard manipulator! Keep it up wakati misukule itakapo kuja elewa it'll b too late!!!
Hii habari ya ajira kama ni kweli! basi viongozi wanaotoka Tanganyika akili zao ni TOPE!!!! To the very slightest sense how can they allow this to happen?????:A S confused:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.