Heshima kwenu wana Board!
Katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku katika kituo bora cha ITV kuna headline ilikuwa inapita ikisomeka kuwa wagombea 68 wa cdm wamewekewa pingamizi, lkn habari hiyo haijasomwa undani wake.
Kama kuna mwenye taarifa zaidi atujuze ni wapi na ni kwa nn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.