umerudisha card yake kwanza?
anyway muoshwa huoshwa ,ukila vya wenzio nawe utaliwa ... relax subiri kuliwa kiboga hapo mzee cha muhimu kisafishe kwaajili ya jombiii
Kuna mtu pale mabibo hostel.
Yeye anasamabaza WI-FI pia lakini
ili upate huduma yake unatakiwa UNUNUE VOCHA.
ana vocha zake anauza shilingi elfu 1.
kwa saa 24 utatumia WI-FI hiyo
Naam salam wana jukwaa.
Nalipanda jukwaa hili moja kwa moja kutoka Maji Chumvi hapa Jijini DAR ES SALAAM.
Juzi siku ya Jumapili mnamo saa tisa na nusu alfajiri, Mimi pamoja na ndugu yangu tulipata safari ya kupeleka
safety gears Ngere Ngere.
kuna Camp pale ya MAKABURU (wadutch kutoka south...
Huyu jamaa hiyo nafasi hafai kuwepo.
kuna suala la paypal hana majibu
suala la gharama Za internet hana majibu .
starlink kawakataa
Hawa jamaa wapo kunufaisha matumbo yao tu.
Yani wanaongea as if hii nchi imeongozwa na chama tofauti.
hiyo issue ilitakiwa ifanyike muda mrefu
lakini saiv ndio...
kwanza kwanini Mungu hakumalizana na shetani.
mpaka anatupa shida sisi saivi... Ye kamshindwa akatutupia sisi ndo tupambane nae
huu ni uonevu.
hii script ngumu wazee walete waigizaji wengine
Mtu mwenyewe Nnauye
anaesema kutumia VPN fain 5M
dude is insane ....
jamaa anakula kiyoyozi
24hrs 7days kufungua tu paypal anaona tabu walalahoi tupate maokoto
kuruhusu elon alete WI-FI nayo hataki
C C M ni tatizo hili suala la paypal wameshamwambia
sana ila anashupaza shingo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.