Mkuu ukiwa na meneja ambaye anawala huwa inafika point meneja anakuwa hana usemi hata mhudumu akimkosea mteja basi meneja anakuwa upande wa muhudumu... Kikubwa ni zile concept za promotions ila kuwala pia inaweza isiwe solution
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizo Pound na Dolla nakushauri usiwe unahifadhi nyumbani maana hayo mahela huwa yanaenda na series baada ya mda yanakuwa hayatumiki... Unaweza ukawa na dola ya mwaka 2014 ukaenda siku kubadili upewe tzs ukaambiwa hela hiyo haitumiki tena ukawa umekula hasara, either ufungue akaunt ya dola...
Aiseee basi wanafanana na orbit, pale orbit kuna kipindi nilienda kununua hisa kiasi flan wao wakauza badala ya kununua halafu wakanunua mara mbili ili kufidia walizouza na zile nilizotaka kununua, yana wanaforce wapate commission kubwa
Naona huyu hajatumia platform amefanya manually katumia Bureau da change tu, hivi benki gani inatoa huduma za online transfers kwa usalama na bei nafuu mkuu?
Hahahaha, I liked your point brother... Actually ndomana Buffet marekan huwa anasema kwamba yeye analipa kodi kidogo kushinda secretary wake. Watu huwa hawamwelewi ila infact huwa anazungumzia in percentage wise kwamba yeye analipa kodi asilimia chache ya kipato chake kulinganisha na asilimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.