Nadhani ishu si hiyo maana huyu mama alikuwa Ifakara kabla ya kuletwa Bagamoyo na Ifakara ni miongozi mwa majimbo ambayo ccm wameshindwa na hata rufani zao wameshindwa. Kuhusu kuchangisha pesa sio kwel na kumbuka hawa viongozi wapo kwenye mafunzo dom kwa sasa.
Ni ngumu kupima utendaji kwa...
Habari ndugu !
Kwanza nianze kwa kuipongeza TRA kwa juhudi zake za kukusanya kodi na pia niwapongeze wafanyakazi wote wa TRA kwa kufanya kazi kwa bidii katika kufanisha dhamira ya serikal iliyopo madarakani.
Baada ya pongezi hizo ,niseme kile kinacho nitatiza kwenu TRA. Wiki mbili sasa...
Nadhani umemnukuu Rais vibaya ndugu !
Nilivyomsikiliza Rais anawapa onyo wafanyabiashara ambao wameficha sukari kwa lengo la kupandisha bei ,Pia ameweka wazi wafanyabishara ambao waliokuwa wananunua sukari iliyokwisha muda wake huk Brazil etc.
Pia ishu ya kuzui sukar toka nje si kwamba...
Habari wandugu !
Naomba kujua namna ya kublock simu iliyoibiwa isiwez kutumiwa kabisa na aliyeiba au kuuziwa. Nimejaribu kuuliza mitandao yetu ya simu hawawez kufanya hicho kitu.
Nimeshindwa kuelewa simu zilisajiliwa za nn na IMEI namba huwa wanarekod za nn ???
Kwanza niwapongeze watanzania wenzangu wote kwa kuzuka salama uchaguzi mkuu na Mungu kutusaidia kupata rais , wabunge na Madiwani , niwatakie kila la kheri kwenye utumishi wao katika miaka mitano . Pia nimpongeze kipekee rais wetu Mh. Dr. John P. Magufuli kwa uteuzi wa baraza lake ni Imani...
Kwanza niwapongeze watanzania wenzangu wote kwa kuzuka salama uchaguzi mkuu na Mungu kutusaidia kupata rais , wabunge na Madiwani , niwatakie kila la kheri kwenye utumishi wao katika miaka mitano . Pia nimpongeze kipekee rais wetu Mh. Dr. John P. Magufuli kwa uteuzi wa baraza lake ni Imani...
Tukiondoa ushabik wa vyama na kuongea kweli , mfano mm nipo sehem ambayo tunasafir sana ndan bara letu hili ki ukweli Tanzania tumepiga hatua kubwa ukilinganisha na nchi za sub sahara ,Mfano kwenye sekta ya Afya tumepiga hatua , miiundo mbili tumepiga hatua kwa kiasi. Kubwa hapa ni kuongeza...
Mtoa mada channel ten wanatangaza habari za ukawa bila tatizo ila ujue huwa wanasegment mbili ya habar za kitaifa ,mara nying habari hizo huwekwa segment ya pili na kwa muda unaridhsha. Kwa ITV kwa hiv karibu naona wanaweka iwe habari ya mwsho nadhan kulingana na ukubwa wa habari.
Madai ya Mbowe kupewa fedha na EL. Yapo madai kuwa Mbowe amehongwa sh. bil 12 ili kumpokea EL. Fedha hizi ameziweka kwenye akaunti yake binafsi na amewawia kidogo wale aliowaona wanaweza kumchallenge. baadhi ya watu waliopata mgao ni wajumbe wa kamati kuu ili kuwaziba mdomo. na si wajumbe...
Habari wa ndugu !
Naomba kusaidiwa majina ya shule zinazofundisha walimu wa nursery (english medium) kama itawezekana na mawasiliano yao .
NB: kwa zile zilizosajiriwa na serikali.
Asante.
nakubaliana na Bw. Rearden ,hata mimi wameniita kuanza kazi kwa kiwango hicho cha malipo ,nikawauliza kwa nn mnapanga malipo ninyi kabla ya kujua kiasi ninachohitaji ? Jibu lao lilikuwa hiko ndio kiwango cha mtu wa IT katka kampuni ya simu.
ki ukweli sijaungana nao ingawaje wamenitafuta kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.