Kuna namba unakuta unayo kwenye simu yako lakini inaweza ikapita miaka na miaka hujawahi kumpigia huyo mhusika na wala huyo mwenye iyo namba hajawahi kukupigia wewe.
Japo inaweza kutokea mara chache sana ukajikuta unahitaji kumpigia mtu lakini mara nyingi namba hizi zinazoishia kujaza simu tu...
Wakuu kuna jirani hapa anadai wezi wamevunja kwake wameingia ndani na kuondoka na pesa.
Mimi sishangazwi na huo uvunjaji wala wizi wenyewe kinachonishangaza ni ishu ya wezi kuzikuta hela ndani unapolala. Hivi wakati huu wa mabenki, sakosi, vikoba na ma-mpesa kama yote bado kuna watu wanakaa na...
Harufu inatoka kwenye yale mashimo ya nje (septik) inarudi ndani ya nyumba (chooni).
Inakera sana, choo kinatoa harufu mbaya hata kama hakijatumika kabisa.
Hali hii inasababishwa na nini na je naweza kuizibiti vipi?
(1) Unakuta mtu anaongea kwa simu kwa kupaza sauti hadi inakuwa kero kwa wengine. Sijui unataka uonekane mtu wa mipango au ndo vipi? Eti unajua kwenye ile indavyuu mimi pekee ndo nilifanya vizuri. mmxxsh hiyo intavyuu yako sisi inatuhusu nini.
(2) Gari ina AC wenzio wooooote wamefunga vioo...
Wakuu
Kwa miaka mingi nimekuwa mfuasi mzuri wa tiba za kibeberu/kizungu zinazohusisha madawa yenye kemikali (namaanisha haya madawa tunayonunua famasi na mahospitalini km panado na znginezo).
Kwa sasa nataka kuvua gwanda kwa kuacha matumizi ya madawa haya ya kemikali na kuhamia kwenye...
Wakuu
Asalam-alleykhum
Leo nikiwa nimetulia kijiwe nimeona ndege kubwa ikiruka anga ya mbali na kuacha michirizi miwili ya moshi mweupe (kuna picha chini).
Kwa kumbukumbu zangu ndege za muingereza aina ya Concorde ndo zilikuwa na tabia hii ya kuruka masafa ya mbali na kuacha michirizi ya aina...
Hawa ni ndugu zangu upande wa mama yangu mzazi. Kifupi, nililelewa upande wa baba. Mama alitengana na mzee na kuwa na maisha yake na familia yake na sijawahi kusikia akinitafuta hata siku moja, ndugu zake pia hawajawahi kunitafuta walau kufahamu maendeleo yangu au tu kujua kama bado napumua...
Hali ya vijana walio wengi saivi ni taabani. Tafsiri ya maisha ya kijana wa kisasa ni "kula bata". Humo kumejaa ulevi, uzinzi na ishu zingine nyingi zisizo na tija kwa fyucha (umbea, usengenyaji nk).
Hivi havikatazwi moja kwa moja coz maisha yenyewe ndo hayahaya, na lazma tuyafurahie maisha...
Msiishie kuangalia kama gari ni zima na ina kibali cha route husika. Mkague na usafi wa mabasi.
Kuna magari unaingia hapo ndani hadi unajisikia kichefuchefu kwa jinsi yalivyo machafu. Halafu fikiria ndo utakaa humo kwa kutwa zima. Come on guyz, tupo uchumi wa kati sasa, lazima tubadilike.
Siku...
Wakuu nataka kuanza mchakato wa kuweka madirisha kwenye pagale langu.
Naomba idea ya aina nzuri ya madirisha ukiondoa hizi aluminium za mchina ambazo naona sasa hivi ndo kama fasheni kila mtu anaweka. Ukiweza kuweka picha itapendeza zaidi.
Eneo husika kuna vumbi jepesi na baridi kali kiasi.
Mnaopenda sauti kubwa ya muziki mna sababu gani?
Hii ipo sana maeneo ya uswazi. Sababu hasa ni nini mnaofanya hivi?
Je, unafikiri muziki wako ni mzuri sana ivyo si vibaya kuwasikilizisha wengne?.
Je, kuna mtu unamkomesha kwa kumfikishia ujumbe kwa njia ya muziki?
Basi tu unataka kukera watu...
Kuna jamaa yetu alinikuta naelekea kufanya mtihani wa darasa la 7 (miaka ile tukiita 'elo wai'). Yeye kwa kimuhemuhe chake na bila shinikizo akadai angenipa zawadi kama ningefanya vizuri ile pepa.
Huku na huku pepa hii apa, Mungu jalia nikachana (nikafaulu) ile pepa. Niliishia kupewa pongezi tu...
Wakuu stori inayotrend saivi ni tamko la mamlaka za Uturuki kubadili matumizi ya jengo la kale la Hagia Sophia lililojengwa mwaka 537 (yapata miaka 1,500 iliyopita) kutoka kuwa makumbusho na sasa kuwa eneo lakuabudia.
Miaka 1,500 ni mingi sana kwa historia ya mwanadamu.
Nimejiuliza sana hawa...
Kuna watu hata muwe foleni ya watu wawili tu yaani wewe na yeye atang'ang'aniza akupite ahudumiwe yeye kwanza.
Ustaarabu wa porini kabisa huu.
Tushukuru bongo silaha zimedhibitiwa unaweza kupata kesi hivi hivi.
Ukiwa kijana barubaru utaambiwa "kijana usikimbilie maisha utayakuta huko mbeleni".
Ukipata makamo hapo ujanani utaambiwa "kijana tafuta maisha kwanza, fainali uzeeni".
Ukizeeka halafu unajaribu kukimbizana na nyakati utasikia "mzee wakati wako umepita".
Wakuu, upi sasa ni umri sahihi...
Hawa watoto na walimu wao waachwe kulazimishwa kuvaa maski. Kwa sasa hakuna sababu zaidi ni kuingizana gharama tu.
Huku kitaani hakuna anaevaa hizi kitu saivi na hata ukivaa watu wanakushangaa.
Unalazimishwa kuvaa halafu akifika homu unakuta hakuna anaevaa halaf apoapo mnachanganyika !!
Ninavyoona hii michango ya harusi ni mnyororo wa kutajirisha watu tu kwa kisingizio cha kuwanufaisha/ kusherehesha wanaharusi.
Kiukweli, mnyororo huu itabidi ifike wakati uvunjwe (kama sio kizazi hiki basi kijacho) kwani kamwe haupo kwa maslahi ya wanaharusi kama inavyodhaniwa na wengi, zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.