Mbona woga umekuzidi? Tuseme NO kwa Lowassa campaign halafu tuseme YES kwa campaign ipi? Badala ya kuzunguka na campaign ya NO kwa Lowassa zungukeni na campaign ya YES kwa mtu wenu. Kwa woga wenu huu Lowassa ni Rais kabla mwaka huu haujaisha
Kuna wakati nadhani mwaka jana mwanzoni nilipita jimbo hilo nikaona wakandarasi watano wakiwa kwenye maeneo matano tofauti kwa wakati mmoja wakijenga barabara za jimbo hilo. Sijawahi kuona hii jimbo lingine lolote. Mmoja alikuwa anajenga barabara ya St. Mary Tabata kwa lami, mwingine alikuwa...
Ni kweli. Ingawa nchi haina udini wala haijaandikwa rasmi lakini hakuna uwezekano wa waislam kurudia urais mfululizo miaka 20. That's out of question. Ndio maana hata January na AshaRose wasijisumbue mwaka huu
Hapana. Ni kwamba Waziri yeyote akishaiba na kufanya ufisadi serikalini na kujikusanyia pesa basi anachowaza kufanya na fedha hizo ni kupata urais! E.g. Membe, Maige (baada ya kuondolewa ameacha ndoto za urais), Ngeleja, January, Mwigulu na sasa Nyalandu...WOTE WEZI WATUPU
Nimetoka Sinza nikapita maeneo ya Buguruni na Tabata na sasa na mimi niko hapa Kwetu Pazuri Segerea. Naona Ukawa mmefanya vizuri jimbo la Segerea lakini bado CCM wako juu sana jimbo hilo. Kwa mujibu wa matokeo niliyokusanya mpaka mwisho saa 6 usiku huu kati ya mitaa yote 60 ya jimbo la Segerea...
Hata Utouh alitolewa nje (NBAA) wakati kulikuwa na mtu ndani anakaimu. Hiyo kazi siyo mchezo kwamba umpe mtu yeyote ati kwa sababu tu ni wa ndani au alikuwa anakaimu.
Lakini pia kama unataka kuhusisha na ripoti ya CAG ya Escrow ni vyema ukajua kwamba Utouh alishamaliza hiyo kazi kwa asilimia 95...
Wewe ukienda benki yako ukachukua kwenye akaunti yako cash ya 1,000,000 ukaondoka ukagawia wadogo zako watatu cash laki mbili kila mmoja na wewe ukabaki na laki 4 statement ya benki itawaonyesha hao wadogo zako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.