Kwa akili yako umemsikia akisema Singida ni jimbo?
Huoni kuwa anataka kuondoa hii dhana mfu ya kimkoa ambayo inaziangamizima mikoa yenye changamoto za fursa pana?
Acha kupotosha. Unapotosha kwa masilahi ya nani?
Hivi watanzania mna nini?
Hoja yako ni ya kijinga sana. Lissu amekuwa maarufu hata kabla ya kupigwa risasi.
LISSU ameshambuliwa kwa risasi kutokana na threat aliyo nayo kwa watawala. Maana alikuwa anatetea nchi na kupinga udikteta wakati wote.
LISSU amethibitisha kwa vitendo tangu akiwa bungeni akitetea UHURU, HAKI, NA...
Nimeelewa sana hoja yako.
Kwamba HAKI isimamiwe na vyombo vinavyohusika katika uchaguzi huu yaani (NEC) pamoja na vyombo vya dola.
NEC hawako tayari kusimamia haki maana wanapokea maagizo ya CCM, hili ni tatizo kubwa.
Mimi naomba JWTZ (CDF) na Polisi (IGP) waingilie kati na kushurutisha...
Unao wajibu wa kutaa mfumo huu wa kihuni, Tutawaachia watoto wetu nchi ya aina gani? Ukifurahia mambo haya nitakuwa na wasiwasi na kiwango chako cha uelewa. Nchi isiyokuwa na mifumo ya haki kwa watu wake haiwezi kupata maendeleo kamwe.
Inasikitisha sana kuona watu wanadhulumiwa haki zao na sisi...
Hata mimi nilikuwa nawaza katika mstari huo huo,
HAIWEZEKANI WATANZANIA WOTE WENYE UMRI WA KUPIGA KURA WAKAWA WAMEJIANDISHA..!
NI NGUMU SANA KUTOKANA NA HULKA ZA KIBINADAMU
Kazi ya Ubunge haisumbui akili, unapiga bla bla tuu, unapata mshahara mkubwa na posho lukuki na baada ya kila miaka 5 unapata mamilioni ya kiinua mgongo, wenyewe wanakiita gratuite. Ni hivyo tuuu, kazi ya hovyo na rahisi isiyotumia akili hata chembe.
Ndiyo maana utawakuta huko mapro madokta hadi...
Unapata ujasiri sana kutokana na hujuma na wizi wa kura ulioshamiri katika chaguzi zetu, ndio maana unasema hayo maneno.
Usifurahiye uhalifu ndugu, utatoa hesabu siku ya mwisho mbele za MUNGU
Katika majira kama haya, Mungu anaenda kumfuta Freeman Mboye machozi..! Huyu kaka ameteseka sana, amefilisiwa mali yake yote, mazao ya shambani kwao yamengolewa, ametafutiwa kesi za kila aina, amefungwa mahabusu mara nyingi, ameshambuliwa na kuumizwa vibaya, amepata vitisho vya kila aina na sasa...
Wapinzani mkijipanga, mkaweza kumalizana/kudhibiti makundi ya CCM ya kuhujumu uchaguzi kila jimbo, mtafanikiwa kushinda, kinyume na hapo, sahau ushindi.
Tena anzeni siku 2 kabla ya uchaguzi, watafuteni waambieni ukweli kuwa ni ama zao ama zenu. Msitanie maana sio wengi ila wana kinga kubwa...
Chadema wakimudu kusimamia kura zote kwa uhalali isipotee hata moja, hakika LISSU atashinda kwa 70%.
Kuna changamoto kubwa sana ya mawakala wetu, wengi wanaendeshwa na njaa hivyo anaweza uza ushindi wa jimbo au kura za kituo kizima kwa sh, milioni 2 tu. Hili ni tatizo kubwa sana, linahitaji dawa
Kwani tume ina masilahi gani na uchaguzi? Vyama ndiyo vinataka uwazi. CCM wameonyesha njia kwa kufanya kura za maoni kwa uwazi, tuendeleze hiyo maana kwa kiasi kikubwa n i kama wananchi nao wemependa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.