naleta kwenu Hoja...ya maelekezo ni gear gani or equipment gani ninunue iliiniwezeshe kufyeka Shamba jipya lenye miti midogo kwa tractor
1:YouTube nimeona hii gear inaitwa bush hogg....
Please mwenye idea please kutumia watu ni bei kubwa
Picture 1 niana ya gear
Picture 2 Shamba lenyewe
Napenda kutanguliza heshima zangu kwenu..naomba msaada Kwa aliye Na ujuzi anielekeze au anisaidi kuweka hizo app ambazo hazipo AppStore ya iPhone.tunaweza kulindana.....Asante Sanaa kwa msaada wenu[emoji17]
Wadau natanguliza heshima zangu kweny....naomba mwenye ujuzi wa kuweza kunielekeza Au kunifanyia hili zoezi tutalindana...nataka ni install app ambazo azipo AppStore ya iphone[emoji18]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.