Tofauti ipo ila kwa baraza lilopita ni kama 50 kwa 50 ,sababu Kuna bahadhi ya mawaziri kazi zao zinaonekana waziwazi kuwa zina manufaa kwa jamii na kuna mawaziri wako kimaslahi zaidi ambao wasingekuwepo nadhani taifa lingeokoa pesa ambazo zimefisadiwa na hao mawaziri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.