Search results

  1. M

    Ni Rais gani mwingine aliyekuwa kwenye hotuba zake anawaambia wahutubiwa watamkumbuka?

    Kumbuka hotuba yake ya kwanza wakati Ana lifunguwa Bunge. Alisema kwamba kazi anayo kwenda kuifanya sio Rahisi kwake Ila Ana Omba Wananchi wamu Ombee Mungu sababu jukumu ni kubwa. Alijua anacho kwenda kukifanya kwa Nchi Yetu ni jambo litalo weka Maisha yake hatarini. Wana Siasa Wana jua kabisa...
  2. M

    Ni aibu kwa Serikali ya Tanzania na ni fedheha mbele ya Wageni kushindwa kuwatambua wapinzani kwenye msiba wa Dkt. Magufuli

    ile sherehe Yenu ime malizika? Mbona tuna jua nyie Mna sherehe ya Msiba wa Rais wa Nchi. Hakuna Chama kikuu cha upinzani Tanzania Hakuna Ku Bembelezana sababu Miaka Miaka yote Hii tuliyo wapa Fursa hakuna mlicho changia tofauti na Ku ungana na wapigaji tu. Tuna lengo laku ijenga Nchi ivo...
  3. M

    Zitto aitaka Serikali ya Mama Samia kuhakikisha vyama vya siasa na vyombo vya habari vitakuwa huru kutekeleza majukumu yake

    Ni wazi tu kwamba Mipango na Manunuzi ya Kitu kama ndege lazima kipitishwe na Bunge ndio Democrat way yaku jenga au kununuwa Assets za Serekali Na ili Bunge lipitishe lazima Serekali ije na Ombi linalo Beba Maelezo yaku tosha kuhusiana na Hilo jambo inayo Taka Bunge likubali Pia lazima benge...
  4. M

    Zitto aitaka Serikali ya Mama Samia kuhakikisha vyama vya siasa na vyombo vya habari vitakuwa huru kutekeleza majukumu yake

    Kwani aliombwa kumuunga Mkono? Ana Nini chaku Muunga Mkono nacho? Kule zanzibar Je Ata jiondowa? Kwani Kuna Ukoloni hapa Nchini? ivi Hizi Siasa Zina Tujengea Nini hapa Nchini? Mna shindwa Kujenga Office zenu [emoji1241] Je? Kuna faida gani yaku Endelea na Siasa na Nchi haijengwi. Leteni Hoja za...
  5. M

    Tundu Lissu: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli

    Una Ongea Upuhuzi mtupu. Jaribu kutofautisha Nyakati Huwezi linganisha Nyakati zaku Dai Uhuru na wakati huu waku jenga Nchi. Tumeishi na Nyerere wakati mrefu bila Mambo Makubwa katika sector za Maendeleo. Nyerere Ali jikita Kujenga Taifa moja ki Mtazamo na fikra. Katika nyanja za Maendeleo ni...
  6. M

    Tundu Lissu: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli

    Kumbe ume copy huu Ujinga wako The Obituary I Promised to Write!!! https://www.dailymaverick.co.za/article/2021-03-22-tanzanias-five-years-of-devastation-under-the-presidency-of-john-pombe-magufuli/ Link hiyo[emoji1546][emoji1546]
  7. M

    Tundu Lissu: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli

    Kumbe hujui kama kaitowa kwa news flani ya wazungu wajinga ... Funguwa hii The Obituary I Promised to Write!!! https://www.dailymaverick.co.za/article/2021-03-22-tanzanias-five-years-of-devastation-under-the-presidency-of-john-pombe-magufuli/
  8. M

    Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

    Hiyo lock down ya Miezi 3 utakuwa una wahudumia Wewe? Wali kuambia barakoa ndio Ina zuwia korona? Mbona Nchi Zenye Lock down ndio Zina kiwango kikubwa cha Vifo? Na barakoa Wana vaa kila siku Acheni Maujinga ya PhD Hii ni biashara tu nipo South Afrika hapa Naona kila kitu
  9. M

    Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

    Hii Nchi haina korona Nenda Ulaya na Marekani Wanao vaa Barakoa ndio Wanao kufa kila siku. Sisi hapa Hilo janga halipo
  10. M

    Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

    Kwani walio vaa Barakoa Ulaya na Marekani ndio walio baki salama Mbona pamoja na Lock down zao lakini Bado walikufa wengi Sisi Bado Mungu Ali tulinda.
  11. M

    Asili ya Jina Njelekela

    Naomba anaye jua anipe Asili ya Jina la Njelekela Lina tokana Na Kabila au Jamii Gani.
  12. M

    Bwawa la Kufua Umeme Kidatu lafurika maji

    Naisi nvua ilinyesha sehemu ile tu, maajabu ya dunia. Kiongozi anaye faa uta mjua tu lazima alete mabadiliko kwa faida ya wananchi
  13. M

    Jiji la Dar kufumuliwa, Kupangwa upya

    Kuna mikoa kibao imechoka sana hii pesa wana taka kugawa tu majengo yatagarimu Pesa nyingi nusu ina ingia mifukoni mwao au wana andaa ufisadi wa namna nyingine! Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  14. M

    Magufuli ana ubavu wa kuvunja Bunge kama anavyodai?

    Kubadili wana siasa walio bobea kwa ufisadi na kuwafanya wawe wafanyakazi wa taifa kwa maslai ya Taifa sio kazi ndogo inabidi udikteta utumike kwa 70% bila ivo hawa jamaa hawata nyooka kamwe. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  15. M

    Wakurugenzi wa wizara kuonja joto la jiwe!

    Siku magufuli akiagiza kufutwa kwa mbio za Mwenge Basi nguvu ya Ccm ndio inafika kikomo nchi Nzima kwani Mwenge ndio zindiko Kubwa na hakuna zaidi ya Mwenge ndani ya Ccm. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  16. M

    Jengo walilopanga CHADEMA kama Ofisi, Mtaa wa Ufipa Kinondoni ni la Nani na kodi yake ni kiasi gani?

    Ni aibu kweli kweli ila angalia majumba wanayo miliki! Ni majengo ya mamilioni ila office kuu ya chama wameisahau kabisa yaani mimi wakati naiona mara ya kwanza nilikataa kuwa sio labda ni office ya kata kumbe ndio office kuu taifa! Alafu una niambia hawa wana weza simamia nchi! Wachumia tumbo...
  17. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anne Kilango Malecela

    Ngoma mdundo wata nyooka tu hii nchi inaitaji maamuzi kama haya lazima ifike wakati wa kuchukuwa maamuzi magumu ichi ime aribiwa sana kama mtasema raisi ni dikteta sawa tu ilimradi analeta mabadiriko ya utendaji kazi Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  18. M

    Tathmini ya gharama ya John Pombe Magufuli Safari Kigali Kwenda na Kurudi

    Unapo sema garama ya toka kigali kwenda rwanda ina shangaza sana. Yaana nikama vile unasema garama ta kutoka bongo kwenda tanzania!! Aaaaaahaaaahaaaah kweli njia ya muongo ni fupi! Laaaaa yani kwa akili zako timamu unasema gari moja lina tumia lita 25000!! Maajabu! Haya. Kajifunze tena...
  19. M

    Ondoa ''misconception'' kuhusu Wanyarwanda

    Kuna tofauti ya maisha ya kawaida na maisha ya siasa hao wanyarwnda wa asili ya kitusi ni kama panya wanakula na huku wana puliza. Unaweza ishi na mnyarwanda hata miaka 20 na usijuwe alicho nacho moyoni ila siku ikifika ndipo utamjua ni nani! Wewe kaa kimya tu huwezi jua ukarimu na uzuri wa watu...
Back
Top Bottom