Samahani wa jamii, baada ya kupiga misele na bahasha ya khiki kwa bila mafanikio, kwasasa nataka nijiajili, nataka kufuga kuku wa kienyeji kibiashara zaidi. Naomba ushauri kwa mwenye idea juu ya ufugaji ya hawa kuku wa kienyeji.
Jamani i'm so hppy to be a member of z greater thnkz, i thnk i'm going to be reach in terms of gaining new knowledge from u also expect information from
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.