Habari wana jf
nimekutana na demu wangu siku saba baada ya hapo akapata hedhi . Tukakaa akanipigia simu akaniambia siku zake hazioni na ni siku ya thelathin ktk mzunguko wake.tatizo linakuja hivi ananiambia ana ujauzito wakati nimemuacha akiwa anableed.sasa mimba ni yangu au naibiwa naombeni...
Mi ni kijana umri miaka 23 nina aidia ya kufungua duka la vyakula rejareja maeneo ya Kigambon ila sina uzoefu na biashara na nikiazio kipi cha mkwanja wa kuazia hadi sasa nina 60,0000.
NAOMBA MSAADA KWA WENYE UZOEFU NA BIASHARA.
habari zilizo nifikia hivi punde kwa wale wanaotumia barabara ya morogoro road imefungwa kutumika leo,serikali inawaomba radhi kwa usumbufu utakao tokea kwani kuna babu anajifunza baiskel
nikijana wa kiume, nimekaa mbali na wazazi zaidi ya miaka 7 nikiwa nasoma,wazazi wangu wote wana kipato,hakuna mdogo wangu anae nitegemea,sina mda maalum wa kurudi nyumban ila natakiwa nitoe taarifa kama nitachelewa au km sirudi,faida inazoziona nikiondoka home ni kuacha kuwategemea...
ndugu zangu naomben busara zenu hapa.Mi bado ni kijana miaka 24 ndo naanza kujenga maisha yangu ila bado nipo kwa wazazi,nili mweleza mama yangu kuwa naomba niondoke nyumban nikajitegemee ila mama yangu kanikatalia na kaniambia nikiondoka ananiachia radhi yeye anachoitaji ni tuiboreshe nyumba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.