Wanaume ni bahili kwa mkewe lakini sio kwa vimada tena unaweza kushangaa mwenzio mpaka kanunuliwa gari we unatembelea dalala.......wanaume ni headache tupu Mungu atunusuru na hili janga.
DON'T HUNT WHAT YOU CAN NOT KILL.
Number ndio habari ya mjini kama ni " A ". Kuja kuiuza tena inakuwa issue unless other wise kama ana mpango wa kuzeeka nayo.....just advising sina nia ya kuharibu business.
DON'T HUNT WHAT YOU CAN NOT KILL.
Tell them, hela ya chai hiyo.... Misaada ikitolewa maneno, isipotolewa maneno......khah!!! We Tanzanians tuna matatizo
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
On the other side inaweza ikadumu ukisha zaa tena ukawa " SECOND HAND" inakubidi utulizane ndio uanze kujifunza jinsi ya kumpenda usiyempenda,
ent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.