ZAKUMI,
tutashukuru kupata feedback zako kama umeona dosari yeyote kwenye website ama kwenye huduma zetu unaweza wasiliana nasi moja kwa moja info@gmconsultz.com ama unaweza kutupm ama hata ukiandika hapa we are read to be criticized, educated and hata kupongezwa. Karibu kwa maoni yako
Dear Caroline,
Nasikitika sana kwa kutoa habari zisizo na ukweli. Hatujawahi hata kumtoza mtu hata zaidi ya 5% na sijui hizo rate zako umezipata wapi.
Pole sana kama ulikutana na watu wengine wakajitambulisha wanatoka kwetu. Kwa hakika piga simu 0715737302 ama 0784 737302 utaongea na...
chukua kipande majani 2 ya mchunga, moja la gligilani ama mchai chai ponda kidogo kama mara 5, then weka kipande cha limau na ice cubes
mwisho mwagia Konyagi ni coctail moja nzuri sanaaa.
jaribu and waiting for the outcome.
Good analysis,
Ukiangalia kwenye hiyo picha ya gari la chenge, limeumia upande wa kushoto na sio kulia hivyo nikweli yeye ndie alikua anataka kovertake katika kutaka kurudi kwenye position yake ndio akahit hito bajaji.
Kama atasema alikua katika harakati za kuikwepa, maaana yaka alisogea...
Huu uozo na upikaji wa Takwimu ndio kilichotusdukuma kuataka kuanzishwa kwa chombo huru cha wachumi Ili takwimu kama hizi tuweze kuzichambua kna kutoa mwelekeo huru wa hali ya uchimi hapa nchini.
WACHUMI wenzangu huu ndio wakati wa kutumia taaluma yetu jkwa manufaa ya taifa.
Jinadikishe...
............I promise you, this is not funny....
A couple was invited to a masked costume Halloweenparty. The wife got a terrible headache and told her husband to go to the party alone.
He, being a devoted husband, protested, but she arguedand said she was going to take some aspirin and...
Waheshimiwa, Nashukuru kwa concern yenu.
Kwanza niseme kuna progress kubwa sana kwenye hili suala la kuanzisha hiki chombo cha wachumi. Mhusika mkuu anasema kutakuwa na mkutano wa kwanza wa brainstorming wa wachumi wote 22 March 2009. lengo litakuwa ni kujadili muundo, Katiba, na kazi za...
Poleni wafiwa wote.
Hili daraja linahistoria ya kutoa maisha. Tatizo ni hili eneo ni sehemu ya mteremko pande zote za daraja halafu kuna kona. Daraja linatosheleza kwa magari mawili makubwa kupisha, na both sides baada ya daraja kuna emegency exits. Lakini naona uzembe wa madereva ni...
Napenda kusema inawezekana 100% kuishi kwa kipato halali cha serikali.
Mimi binafsi nimefanya kazi kwa zaidi ya 4 serikalini katika rank ya kati TGS D tena kwenye mlango wa rushwa sikuwahi kuomba wala kupokea na nilikua naishi vizuri bila tatizo.
Kama tunahitaji kuwa na kanyumba ka kuishi...
Wakuu nataka kurecord the whole swearing ceremony in my PC but I Have no Idea how to do. Can one help in that please. Pili ama kama kuna watu wanaweza kurecord the whole event then tukapata nakala kwa ajili ya kumbukumbu itapendeza sana. Natanguliza shukrani
Cynic sio kweli,
Fuatilia hii link http://www.ewura.com/index.html na kwa kupata mwanga kila company lina market share kiasi gani, storage capacity kiasi gani, na other overhead costs za uiingizaji wa mafuta nchini.
Mkuu ni Tanzania Tu hii sector haijawa regulated
Katika nchi zote duniani Mafuta, Umeme na Company ya simu ni heavily controlled kwa usalama wa nchi. Hivi vikiachiwa kwenda kiholela kama sasa
security of the state iko at risk.
nadhani uliwahi kujiuliza Swali kwa nini kwenye vita yeyote...
Mkuu tatizo sio indicative prices bali wamesema stock ya petrol imeisha wamebakiwa na disel na mafuta ya taa.
Kama wiki chache walisema wanastock kubwa ya zamani ndio maana hawajashusha bei leo iweje basi wasiwe na stock ya kutosha???????
Hawa wanahitaji kichapo=Futa license zao wote na...
Nimeona hii habari bandugu naweka kama ilivyo.
What is the implication of such technologies???????
Zitaaccelerates maendeleo ama zitaongeza gap kwa walionazo na wasio nazo?????
Kwa nchi masikini, zitaongeza ufanisi ama loss of life will be doubled?????
Kwa maoni yangu, hii ni luxurious...
waweza wasilina na hawa wafuatao watakusaidia wazo lako 100%
mobile +255 754 389508
Office +255 23 2603765, 2603658, 2603652
Fax +255 23 2603768
Uliza Mkurugenzi, au killo lussewa ama any Business Develeopment Officer watakusadia tatizo lako. Hakuna kuzungushwa wako straight kwa kila...
Alnadaby
Sio kweli EWURA hajaliangalia suala la stock. Kumbuka kwanza mafuta yameshuka bei kwanzia delivery za november zilikuwa below 80USD/barrel. Na pili serikali ndio yenye jukumu la kuangalia stock ya mafuta nchini so at any point in time inajua kiwango ha mafuta nchini, lakini pili kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.