Wadau hivi inawezekana kupata mkopo kwenye mabenki esp. NMB na CRDB kwa dhamana ya nyumba isiyo na hati? ila hiyo nyumba ipo kwenye kiwanja kilichopimwa na kina offer/leseni ya kiwanja.
Msaada kwa wenye ufahamu
Mimi ni muhitimu wa shahada ya chuo kikuu toka 2012, nimeomba kazi kwenye taasisi na makampuni mbali mbali nikakosa, nikaamua kurudi kijijini kwetu Mpitimbi wilaya ya songea mkoani Ruvuma na kuanza kulima mahindi na kuyauza kwa takribani miaka miwili nashukuru Mungu katika kilimo nimepata faida...
Kwa yeyote yule aliyegraduate PGDE Open university of Tanzania naomba anisaidie jinsi ya kuandika project au guidelines za kuandaa project coz hawa jamaa huwa hawatoi chochote wanasema tubuni title then tuandike tutakavyojua.
Kwa yeyote yule aliyegraduate PGDE Open university of Tanzania naomba anisaidie jinsi ya kuandika project au guidelines za kuandaa project coz hawa jamaa huwa hawatoi chochote wanasema tubuni title then tuandike tutakavyojua.
Wadau naomba msaada kwa mwenye softcopy au hardcopy za madesa ya teaching methods of economics and business au mwenye kitabu hiki (Kerich, W. (1990). Educational Communication and Technology: Economics Methods: Nairobi,
University of Nairobi)
Msaada kwa yeyote anayejua au anayeweza kunijulisha kuhusu ni jinsi gani nawezapata materials/madesa kwa kozi ya Postigraduate Diploma ya Education, maana ntasoma kwa njia ya distance.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.