Wadau hivi inawezekana kupata mkopo kwenye mabenki esp. NMB na CRDB kwa dhamana ya nyumba isiyo na hati? ila hiyo nyumba ipo kwenye kiwanja kilichopimwa na kina offer/leseni ya kiwanja.
Msaada kwa wenye ufahamu
Mnamo tarehe 13 june 2016 ulitolewa walaka wa serikali wa kusitisha ajira, promotion na mambo mengine ili kubaini watumishi hewa na ujanja ujanja mwingine uliokua unafanyika katika sekta ya umma na kusababisha pesa nyingi ya umma kupoletelea mikononi mwa watu wachache wasio waadilifu.
JPM...
Iko poa sana, ila uwe unajua hesabu ipasavyo. Unakua mchumi uliyebobea kwenye Sera na mipango ajira zipo kibao cha msingi ni kupata GPA nzuri at least 3. 5
Kama kuna mtu alimsikiliza Prof. Mkumbo juzi ijumaa kwenye kipindi cha kipima joto ITV hao wanafunzi hawana makosa hata kidogo, kosa liko kwa wale wenye mamlaka ya kudahilina njia waliyotumia kuwaondoa haikustahili kabisa. Wangepewa angalau muda hata wa wiki moja au mbili ndipo waondoke.
Kasome iyo diploma ya clinical officer hata kwa kujilazimisha coz saizi tunasoma ili tuajiriwe na si vinginevyo, uko hgl chenga tu utajilaumu baadae na wakati utakua umepita.
Uyo Gogodo ni msanii hafai kupewa nafasi ya kugombea ubunge cdm mkifanya hivyo mtaua chama kwa upande wa kyela, Mwamnyaki ndiye anayetufaa wanakyela juhudi zake tumeziona.
Uyo Gogodo ni msanii hafai kupewa nafasi ya kugombea ubunge cdm mkifanya hivyo mtaua chama kwa upande wa kyela, Mwanyaki ndiye anayetufaa wanakyela juhudi zake tumeziona.
Vyuo vya uchochoroni vipo wengi wamesoma iyo nersing one year course na kazi hawapati, kwa mambo ya nersing ni vema ukasoma chuo kinachotambulika ni vema zaidi kikawa cha serikali unakuwa na uhakika wa ajira.
Namkumbuka Steven Owawa na kundi lake wakina Silinde, Nassari, Odong na Adam ingawa Adam kasaliti harakati anambwelambwela na udiwani wa mahakama. Nina imani kubwa na huyu mtu hachoki kupambana tuliomkuta udsm tunamjua vyema wanarorya mpeni nafasi.
Kuuliza sio ujinga,
Toka nimeanza kusoma darasa la kwanza mpaka namaliza elimu ya juu sijui wahenga ni akina nani, mara utasikia mtu akisema wahenga walisema asiyesikia la mkuu…, wahenga walisema mwenda pole...
Na mimi naomba kujuzwa hivi wahenga ni akina nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.