Search results

  1. T

    Mshahara umetoka lakini hakuna mabadiliko!

    Nchi hii JK aeleze wazi aliwezaje kwa miaka yote kumi kufuata sheria ya increment? Having Haiingii akilini hata kidogo wafanyakazi wamekuwa vikaragosi'alijisemea Hayati Augustino Mrema',kwa maana wafanyakazi wamekuwa wanyonge hasa chini ya mwamvuli wa TUCTA, shirikisho la wafanyakazi hewa...
  2. T

    Maisha bora kwa kila mtanzania aliweza Kikwete tu

    Huu mi mwaka wa nane hakuna increment kwa watumishi. JK miaka kumi ya utawala wake aliweka increment kwa kila mtumishi wa serikali. Achilia mbali kupandisha mishahara kwa kuwango cha juu kabisa. Ni vigumu kusema hili, lakini JK kwa uliyotenda kwa watumishi ni alama ambayo hakuna hata Rais...
  3. T

    Hongera Waziri wa Utumishi Simbachawene, ni kweli teuzi za rushwa zilikithiri

    Alizungumza na maafosa utumishi na viongozi wa tsc kutoka halmashauri zote jijini Dodoma kuwa wale wote wana toa vyeo kwa kada zao wakome vitendo vya Rushwa.
  4. T

    Hongera Waziri wa Utumishi Simbachawene, ni kweli teuzi za rushwa zilikithiri

    Bila maneno mengi nakupongeza sana mheshimiwa Waziri George Simbachawene kwa kumulika hili. Nchi hii wapo wakuu wa idara mbalimbali na wasaidizi wao ambao wapo waliopo kwa faida ya Rushwa. Wapo walio toa pesa na wapo walio toa ngono hadi ndoa kuvunjika. Kwa agizo lako mheshimiwa najua wahusika...
  5. T

    Chama cha walimu Tanzania ni cha walimu wenyewe

    You are extremely wrong
  6. T

    Abdul Nondo: Hakuna mtu aliyewahi kuthubutu kuandamana kwenda Ikulu zaidi ya ACT Wazalendo

    Wimbo ulio toka juzi wa Nipeni Maua Yangu Kuna sehemu ROMA yeye amechagua siku uchaguzi ukija hapa Tanzania basi hatachagua CCM bali atachagua JIWE kwa kuwa kiongozi wa vyama pinzani DJ amebwafa manyanga. Kwa muktadha huo wa ROMA hata mimi nawashauri wengine wanaodhani siasa ni mpaka kiongozi...
  7. T

    Abdul Nondo: Hakuna mtu aliyewahi kuthubutu kuandamana kwenda Ikulu zaidi ya ACT Wazalendo

    Acha upumbavu wewe kwanza hata historia ya nchi yaonekana huijui ndo maana unaitwa Nondo
  8. T

    Asante Rais Samia, Ila ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi

    Kuanzishwa miradi mashuleni nayo mpaka Rais wa nchi?Basi hakuna haja ya kuwa na viongozi wa ngazi za chini. Mama kawaputia wafanyakazi tahfifu baada ya kupigika kwa miaka saba
  9. T

    Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

    Yaani Hadi tume iliyoundwa kukasimu nyongeza ya mshahara mnadhani haukuwa terms?Acheni Serikali ithamimi watumishi wake positively.Asingeongeza mngesema Serikali haijali wafanyakazi
  10. T

    Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

    Watu wa kulalamika kwa kila Jambo litendwalo na Serikali hataisha.Yaani Serikali imeamsha ari kwa wafanyakazi wake lakini BADO Kuna watu hawaoni jitihada hizi
  11. T

    Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

    Kwani hamkuona au kusikia baadhi ya waheshimiwa wakimwita yule Mheshimiwa Mungu?
  12. T

    Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

    Hilo ni pigo kubwa kwa watumishi ndani ya muda mfupi.Mchengelwa kwa kuwajali watumishi alileta tabasamu kubwa kwao,Huyu anaye kuja ni mtu ambae watumishi wanamjua kama mtu ambae hana uthubutu wa kuwatetea wala kuumia kwa shida za watumishi.Nfio maana unaona watumishi wamenyong'onyea ghafla
  13. T

    Rais Samia ataleta siasa muafaka.Ni mtaalamu wa siasa ila wengi hawajui

    Nimefuatilia Sana nyendo za Rais Samia Suluhu Hasan,anajua siasa Sana Ila anajua namna ya kuwa mtulivu na anajua kuwasoma wapinzani ndani na nje ya chama chake,subirini muone
  14. T

    Lini Serikali hii sikivu itakamilisha ulipaji wa malimbikizo kwa wafanyakazi?

    Tangu awamu ya sita ilipo ingia madarakani wafanyakazi tulishuhudia baadhi yao wakianza kulipwa malimbikizo yao ya muda mrefu Sana,lakini baada ya muda mfupi tena Ni kama zoezi hili limekwama tena Mimi kama mfanyakazi naomba serikali ilipe malimbikizo ya wafanyakazi Hawa kwa sababu Kuna...
  15. T

    Uchaguzi 2020 Lushoto hajulikani nani atashinda 2020

    Huo ni ujinga tunataka kuwa sereous na maswala muhimu siyo cheap politics,tunahitaji kupambania ccm kwa weledi hapa lushoto
Back
Top Bottom