Daktari, umechagua jukwaa lisilo sahihi kuzungumzia msimamo wako, katika jukwaa hili kinachokubalika ni kauli ya aina yoyote inayounga mkono CHADEMA na kuiponda kwa namna yoyote CCM. Haijalishi uko sahihi kiasi gani ila utahudumiwa kwa maneno ya matusi na kejeli kila unapoonekana kwenda kinyume...
Tunaambiwa kuwa Tatizo hapa ni "Mteuzi" ila mkubwa akikosea wadogo lazima wainuke haraka na kujitaja kuwa wao ndo waliokosea. Katiba mpya ianzie hapa, tumpunguze MAGUVU Rais yaani anajua kuteua lakini kutimua shida.
"Nikiwa kama mwakilishi wako wa Jimbo la........naunga mkono kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, nakutaka ufikishe sauti yangu kama mwakilishi wangu niliyekuchagua" Tuma ujumbe huu kwa Mbunge wako kumtaka atie saini ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu....tuache porojo vitendo vianze sasa!
Point unayo ila unaelekea kushindana na mapenzi binafsi ya watanzania. Mi nakuunga mkono kuwa serikali sio kampuni ambayo imetenga fedha maalum kwa ajili ya Public Relation (Social responsibility). ukiona fedha zimetoka ujue bajeti ya wizara fulani imepewa pesa nyingi kupita kiasi, tunajua Ikulu...
Hii ndo taswira ndani ya CDM, viongozi wanabusara kuliko wanaowaongoza. Ila humu JF ukitoa maoni yako dhidi ya CDM au kiongozi wao basi wewe hautakuwa salama kwa matusi na kashfa. Ndo maana mjadala huu utamalizwa kwa droo si zitto wala Mtei atakaesakamwa.
Tusiwe na tamaduni ya kuogopa maoni ya watu hata kama yanaudhi, ilimradi amebainisha kuwa ni maoni yake binafsi basi tumheshimu na wapo watakaokubaliana nao kama tusiokubaliana nae. usishabikie hoja ya mtu kisa ni ndugu yako au mnatoka kijiji kimoja...angalia uzito wa hoja na kama huoni mashiko...
My take:
Baada ya kulumbana na kuvurumishiana maneno ya kashfa sasa naomba kuufunga rasmi mjadala huu (kwa upande wangu) kama ifuatavyo;
1. Michango yenu nimeithamini sana kwa kuwa ujumbe wangu umewafikia zaidi ya watu 3000 waliopita kuisoma thread hii. Natambua kuwa wengi mmeguswa kwasababu...
Sio lengo langu Mkuu, lakini nalazimika kuwaonyesha kuwa sio wote tunafurahishwa na mfumo wao wa hamasa. Huwezi kumuona kila anaetofautiana na wewe kuwa adui yako, hiyo sio siasa anayoifanya Mnyika, sio siasa anayoifanya Zitto na wala sio siasa anayoifanya Mbowe....sasa kama kweli wanaaamini...
Ukija kwa upanga na mimi nitakutoa kwa upanga...that's my cue for this discuss maana najua watu wa aina gani wanachangia hapa na lengo lao ni lipi...asilimia kubwa hawataki kujadilia hoja yangu ila wamechagua vitisho, kashfa na upotoshaji. Hii ni sababu kubwa na mimi nashirikiana nao kwenye...
Unahisi jamvi hili ni lako peke yako, ndo hivyo hata sisi tusiokuwa na akili tumekaribishwa usipoteza nguvu yako kwenye ukurasa huu nenda katafute wenye kuendana na ubongo wako...Unajipendekeza eeh?
We mwenyewe una sifa za kupima uwezo wa mtu kweli hebu jitazame kabla hujazungumza nyuma ya pazia. Wanaume wanaojiamini hawajifichi toka nje babu usiombe maji ukiwa shimoni.
Hapa ndo tunaposhindwa kufikia tamati ya mjadala huu, hakuna anaemaliza hoja bila tusi....mtu anaanza vizuri afu mwisho anacheza mabreka kama haya. Anyway, kwa kuwa jukwaa hili linatajwa kuwa la watu makini nataka kuamini nimeeleweka na kinachoendelea sasa hizi ni watu kufikisha ujumbe wa...
Hovyo kabisa, haya uk nchi gani inayozuia waandishi wa habari wasifanye kazi yao kwa kuwa wanapendelea serikali? U r full of shit brother, u know absolute nothing about the world of media...Be quite and go get shower...U stink
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.