Mmmmmh.....aaaya mama.lkn wenye uchumi mkubwa mnaowaona wametoka mbali aisee....kama mnataka urajiri wa mauzauza wa miez tu kufikia ndoto, sawa endeleeni na midharau yenu.
Sio rahs sana kuwaelewa wanawake wa siku hz wanataka nn....tuwaachie tu wenyewe ndo wanajielewa....maana utamfanyia kila kitu, utamjali yeye na familia yake bdae anakudharau, anakwambia napenda six pack, mara cpend kibamia kinaishia juu....hahahahaaa.....mwisho wa siku mmmmh adi unamuonea...
Yap, kama ni Mungu ndiye amekusudia wewe kutokua na huyo mtu kwa sababu anazozijua Mungu pekee, bas kila mtu atakuja kumpata mwenzake na hakutakua na sababu tena ya kumkumbuka x wako. Ni imani yangu tu jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.