Search results

  1. M

    eTV ya Afrika kusini kuonyesha mauaji ya Albino tanzania leo saa nne na nusu usiku

    Leo saa nne na nusu usiku(saa za Tanzania),etv ya afrika kusini itaonyesha,kuongelea na kuhoji baadhi ya watu mbalimbali kuhusu mauaji ya Albino nchini kwetu.kipindi kitaendeshwa na mtangazaji wa tv hiyo Debora P kwenye kipindi chao kiitwacho 3rd degree.Inavyoonekana wao wanasema mauaji ya hawa...
  2. M

    Kiswahili chazidi kukata mbuga,sasa Arkansas state,USA

    Arkansas State offering Mandarin, Swahili classes Associated Press - June 16, 2008 10:24 AM ET JONESBORO, Ark. (AP) - Students at Arkansas State University will be able to enroll in accelerated classes this fall in Mandarin Chinese and Swahili. There is increasing demand among U.S...
  3. M

    Chinese South Africans are now black

    Chinese South Africans are now black 18 June 2008, 19:27 A court on Wednesday issued a landmark ruling classifying Chinese South Africans as black, making them eligible for benefits for those discriminated against under the former apartheid regime. The ruling from the Pretoria high...
  4. M

    breaking news kwa wanasoka

    habari nilizozipata mdahuu nikuwa Carlos ALberto Pereira kaachia ngazi kuifunza timu ya taifa la Sauzi Sababu ya kuachia anasema mke wake ni mgonjwa hivyo angependa kuwa nae karibu. Hatahivyo wachambuzi wa mabo wanahisi kaachia kwasababu haoni kama atapata mafanikio makubwa 2010,hii ni...
  5. M

    Nchi yetu italiwa mpaka lini?

    Mniwie radhi kama habari hii mmekwisha ipata. Tanzania faces $27m IPTL lawsuit in the US By WILFRED EDWIN http://www.nationmedia.com/eastafrican/current/News/news031120078.htm A $27 million breach of contract suit filed by the Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) against the...
  6. M

    Hotuba ya Mh Augustine Philip Mahiga

    Ambassador of Tanzania delivers speech at the University CHIMENE MONTGOMERY Issue date: 11/28/07 Section: News The Lubin School of Business hosted Ambassador Augustine Philip Mahiga of the United Republic of Tanzania and Minister Modest Mero from Tanzania's Permanent Mission to the...
  7. M

    Vituko vya watoto wa wakubwa

    Wakili mtoto wa Karume azusha tafrani kortini Tanzania Daima,22.11.07 na Happiness Katabazi na Nuru Yanga WAKILI wa Kujitegemea, Fatma Karume, jana alitoa maneno makali dhidi ya Hakimu Addy Lyamuya wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam hali iliyosababisha hakimu huyo...
  8. M

    Tanzania: Country Beats Uganda, Kenya for U.S. Millions

    Bila shaka hii ni hatua nzuri kama tutafanikiwa kuzipata. The Monitor (Kampala) 18 November 2007 Posted to the web 20 November 2007 Zephania Ubwani TANZANIA is likely to win a $698 million grant from the United States through the Millenium Challenge Corporation as the country has...
  9. M

    Madaktari sawa, lakini na wengine je?

    Raia mwema Nchem Nchicheme? Novemba 14, 2007 KWAMBA kuna daktari mmoja au wawili, au watatu wamefanya uzembe wa hatari kwa maisha ya mgonjwa, hakuna mjadala. Hakika, uzembe uliosababisha mgonjwa wa mguu kufumuliwa kichwa ungetakiwa uwe simulizi ya kuchekesha na kuchangamsha baraza...
  10. M

    Ugunduzi wa Erasto Mpemba, (Maji ya moto kuganda haraka kuliko ya baridi) 'The Mpemba Effect' kwanini hatukufundishwa mashuleni?

    Erasto Mpemba (kushoto) na Profesa Osborne, siku ya kutoa tuzo kwa mshindi aliyeweza kutoa sababu za maji ya moto kuganda upesi na kuwa barafu kuliko ya baridi. Nimeona ni vizuri tujikumbushe kidogo kuhusu Mtanzania huyu dadis aliyefungua fikra za wanataaluma wa sayansi. Ni ndefu lakini...
  11. M

    Ujima ni kuweka mambo sawa?

    Hapa naendelea kupata wasiwasi wa upotoshwaji wa lugha yetu tukuka Story Created: Oct 30, 2007 Story Updated: Oct 31, 2007 Project Ujima Shelley Walcott 'Ujima' is a Swahili word that means 'Making Things Right'. That's just what a city program called 'Project Ujima' is trying to...
  12. M

    Lowassa amezushiwa Buzwagi 31.10.07

    Je huu uchukuliwe kama msimamo rasmi wa mheshimiwa. Mwaandishi wa makala hii ni mwandishi wake Tanzania Daima Saidi Nguba KWA mara nyingine tena, gazeti la MwanaHalisi, limechapisha habari na makala kuhusu Waziri Mkuu Edward Lowassa. Safari hii ni katika toleo Na. O68 la Jumatano Oktoba...
  13. M

    Wanafunzi wakamata wajumbe wa bodi hadi kituo cha polisi

    Sasa naanza kuamini wakati wowote wananchi wanaweza kuanza kuwashughulikia mafisad. Hebu angalia vijana hawa shupavu wealivyowashughulikia mafisad wao. Ama kweli Tanzania bila mafisad inawezekana Source Mwnanchi 31.10.07 Na Lilian Lugakingira, Bukoba WAJUMBE watano wa bodi ya...
  14. M

    Chuo kikuu cha Harvad chafungua milango kwa maskini

    Haya sasa nafasi hizo zimefunguliwa ushindwe mwenyewe Harvard University announced over the weekend that from now on undergraduate students from low-income families will pay no tuition. In making the announcement, Harvard's president Lawrence H. Summers said, "When only 10 percent of the...
  15. M

    Mtoto wa miaka 10 aongea lugha 10

    Speed ya ukuaji wa kiswahili mbele ya mataifa inatisha na nafikiri tuanze harakati za hakia miliki maana kitakuja kubinafsishwa tusipoamka mapema. Arpan Sharma speaks French with flair, rattles off German with ease and can hold a lengthy conversation in Swahili. His Spanish is impressive as...
  16. M

    Hadzabe Tribe's 'Great Victory' Over Commercial Hunters - Adam James

    Ni ndefu lakini nzuri kusoma.Kama sikosei idadi ya Wahdzabe inakadiriwa kuwa kati ya 1000 mpaka 1500,na siyo 400 kama huyu muandishi alivodokeza. Nakumbuka Dr.Slaa aliwahi kuuliza swali bungeni akiuliza mpango mathubuti wa kulinda haki za Wahdzabe kwenye zoezi la ubunafsishaji wa maeneo...
  17. M

    Kiongozi wa upinzani kenya atafutaa sapoti Bonden

    Zipo habari kuwa mmoja wa viongozi wa upinzani anaewania urais kenya yupo Sauzi ya Afrika akitafuta saport kwa wakenya waishio nchini humo.Kiongozi huyo ametajwa kwa jina moja la Laila,sijui kama ni Odinga au Oginga.Waishio humo Afrika ya sauzi,tupe info.Tanzania kuna cha kujifunza kutoka kwa...
  18. M

    Kweli kocha wa Taifa Stars analipwa kuliko wote Afrika?

    Ni kweli kwamba kocha wa timu ya taifa ya tanzania ya mpira wa miguu analipwa hela nyingi kuliko makocha wengine wote afrika? Naomba mwenye info atumwagie hapa jf
  19. M

    Kiswahili chaingia kwenye orodha ya lugha zinazohitaji tafsiri kwa wingi Marekani

    Wakati napitapita nimeona habari hii nikahisi tunaweza kunufaika nao kwa kujua maendeleo ya lugha yetu ughaibuni.Fatilia hapa chini Doctors lost in translation use assistance. By Mary Pickels TRIBUNE-REVIEW Sunday, October 21, 2007 Social worker Sue Mull still remembers the Mexican...
  20. M

    Tanzania’s ranking improves in World Press freedom stakes

    Si vibaya tukajipongeza kwa hizi hatua chache THISDAY REPORTER Sunday, October 21 2007 Dar es Salaam TANZANIA has jumped 33 positions in new rankings measuring the level of press freedom in 169 countries around the world and published this week by Reporters Without Borders. According to...
Back
Top Bottom