NINAJUA WATU WENGI HAWAMPENDI HUYU MZEE LOWASSA, LAKINI NAWAAMBIA LOWASSA NDIYE CHANGUO LA WATANZANIA KWA 90% , TULIWAAMINI CHADEMA ILA SASA HAWANA TENA MUELEKEO HIVYO HAWATAWEZA KUKIONGOZA TAIFA HILI KAMA WAMESHINDWA KUKISIMAMIA CHAMA BASI HATUNA IMANI NAYO TENA. LOWASSA KAZA BUTI WATANZANI...
Bw. Andrew Nyerere tuna uhuru wa kutoa maoni kwa njia yeyote, iwe kwa kupiga kura au kuongea, au kuandika nk, wewe kama huwezi tuwachie uwanja na kaa pembeni, swala la kupiga marufuku upigaji wa kura wa maoni ya wanajamii forum hilo ni wazo lako mwenyewe. Lowassa is the only one who will lead as...
Mh. Edward Ngoyai Lowassa is the coming President of the United Republic of Tanzania 2015, kama CCM hawatamsimamisha Lowassa, CHADEMA ni opportunity yao kuichukuwa nchi hii
Mh. Edward Ngoyai Lowassa is the coming President of the United Republic of Tanzania 2015, kama CCM hawatamsimamisha Lowassa, CHADEMA ni opportunity yao kuichukuwa nchi hii
Mimi ni mwenyeji wa Longido, mimi ni msomi.Jimbo la Longido limekuwa katika mikono ya CCM miaka yote. jimbo hili limekaliwa na kabila la wamaasai, moja ya makabila maarufu sana Afrika ya mashariki, ni kati ya majimbo yenye utarijiri mkubwa, lakini utajiri huu umewanufaisha wakubwa wa CCM na...
hapa nimewakubali CDM, rufaa yao ina maana kubwa sana, hapa wameendelea kujijengea hishima, hiki chama ni makini sana hwakurupuki tu hivi2, wana wa Arusha, MBUNGE wenu anarudi kazini bila uchaguzi, makamanda tuko, CCM itazikwa kama mbwa mwizi, subirini mtaniambia leo tarehe 07.04.2012...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.