Ubinafsi ndio unawafanya viongozi wa nchi kuiba kodi zetu,ukiangalia kwa makini viongozi wengi wamejenga nyumba nzuri wakati jirani yake analalia mbavu za mbwa,Je wanashindwa kuwasaidia kuwajengea nyumba bora walau vyumba viwili?
Mwandri ni msanii kasoma alama za nyakati,kaota kifo cha ccm,sasa anataka kujiunga na CDM,tukumbuke huyo jamaa kasoma chuo cha siasa ngambo na amekuwa mwalimu wa siasa chuo cha Jk Nyerere, mwizi huyo,tapeli mkubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.