Naomba msaada wa kuunganisha router ya TP Link na modem ya 4G ya Vodacom. Nikiunganisha modem moja kwa moja kwenye laptop napata internet, ila nikiunganisha na router hakuna internet.
Natanguliza shukrani.
Kuna hii ya Solar ambayo nimeifanyia utafiti kwa muda wa mwaka mmoja na nimethibitisha kuwa hii taa ni madhubuti na inakidhi sifa ambazo watengenezaji wake wamezipa.
Hii taa ni taa ndogo, mbadala wa kibatari. Ukichaji siku moja unaweza kutumia kwa siku 5 ndipo inafifia na kuzima kabisa. Kwa...
Baada ya mabadiliko yaliyofanywa kwenye website hii, naona picha zingine ni ndogo (thumbnail) na nyingine ni kubwa zinaonekana vizuri. Hivi ni kwa njia gani mtu anaweza kuweka picha itokee kubwa na sio ndogo? Natamguliza shukrani.
By Thobias Mwanakatwe
11th October 2009
Kingunge Ngomale-Mwiru.
Veteran politician Kingunge Ngomale-Mwiru has blamed opposing groups and constant wrangles within Chama cha Mapinduzi (CCM) on selfish persons who would always want to be elected to parliament.
He...
Leo nimefungua ukurasa wa JF na kama kawaida yangu nikataka kutafuta posts mpya. Kwa bahati mbaya sikuiona button ya New Posts. Je mods mmeiondoa kwa makusudi au imepotea tu? Kama iliondolewa naomba irudishwe maana ndio inatuweka wengine uptodate.
Latest news: Obama wins Nobel Peace prize.
OSLO - President Barack Obama won the 2009 Nobel Peace Prize on Friday in a stunning decision designed to encourage his initiatives to reduce nuclear arms, ease tensions with the Muslim world and stress diplomacy and cooperation rather than...
Leo nimekumbuka pesa tulizokuwa tunatumia tulipokuwa watoto wadogo, sisi tulikuwa tunaita hela. Kwa mfano:
Hela tano (senti kumi) uliweza kununua andazi moja au pipi gololi sita.
Hela kumi (senti ishirini)
Hela kumi na tano (senti thelathini)
Hela ishirini (senti arobaini)
Robo ya sumuni (senti...
Naomba msaada. Computer yangu ina freeze saa zingine niki iwasha au hata nikiwa katikati ya kazi. Wataalam naomba msaada niweze kutatua tatizo hilo. Natanguliza shukrani.
Chinese made phones might hinder TCRA move to burst crime`
By Mgeta Mganga
28th May 2009
A Chinese Mobile Phone
Stakeholders in telecommunications industry have welcomed the decision to register all mobile phones saying the move would help reduce the rampant...
Tuna kampuni yetu huku ughaibuni ambayo pia inataka kufanya biashara Tanzania. Je tunahitaji kusajili upya kampuni hiyo Tanzania? Tunaweza kuihamishia usajili wake wa awali huko Tanzania? Natanguliza shukrani.
Nimefungua inbox yangu na nikakuta hii email. Baada ya hapo ilipelekwa moja kwa moja kwenye spam bin. Kama ukipata kama hii, tafadhali fanya hivyo hivyo:
Hello dear new friend.
Glad that I'm just browsing now in the Internet and found your profile and i was much feelings over it,I'm miss Rose...
What lessons can Tanzania leaders learn from this?
David Chaytor was paid thousands for a mortgage on a Westminster fl
MP David Chaytor has been suspended...
Brown apologises for politicians' perks
By Kate Kelland
LONDON (Reuters) - Prime Minister Gordon Brown apologised on Monday for politicians' expenses, which included claims for dog food and...
(April 26, 2009) - While the facts surrounding the kidnapping and rescue of the Maersk Alabama Captain Richard Phillips have been widely reported, less well-known is that ship which saved him was commanded by a black woman, Rear Admiral Michelle Howard.
Howard received the assignment of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.