Cha msingi mwambie ukweli amalizane na mwenziwe ki taratibu zote lakini pia wewe hupaswi kuwa nae kimapenzi. Lea mimba mpaka mtoto ww beba msalaba wa kulea mtoto tu achana na mambo ya mahusiono na mwanamke ambae alishaolewa ndoa ya kanisani tena mumewe akiwa bado yupo hutokuja kuwa na amani na...
Sasa na ww mwanaume unapata wapi amani ya ndoa au mahusiano unapojua mkeo au mwenzi wako haumsigui ki sawa sawa? Utimamu wa mwanaume unaanzia hapo kama utafeli hili jua hata kama kuna mengi na mapangapi una faulu ujue hii ndio tiketi ya kuanza kufeli kwa Kila kitu... Utajiri... Hata kama yeye...
Hivi jamani Ili utangazwe ni lazima ushinde nn maana mm naonaga wanaotangazwa wengi ni wale walishinda jackpots tu kama ni kiwango fulani let say 50m inamaana hakuna watu wanakula hizo ml60 au 85ml kimya kimya mbona hatuwaonagi
Mkuu kwanza nikupongeze kwa hatua zote ulizo fanya kama kaka au na familia ya kumnusuru huyo dada Yako Iko hivi hiki kizazi Cha saiv kimeharibika chote si swala la jinsi kingine kwenye mambo ya ndoa Kuna mengi na vita ni vingi sana si akili zako tu ndo zinaweza kukuokoa mnaweza kuwa wote mpo...
Pole ila kama mlishaongelea hayo maswala ya watoto kabla namna mtakavyo kuwa mnaishi nao na yy kafanya kinyume na mlichokubakiana ww wala usipanic mnafutie mda mzuri uzungumze nae anaweza kuwa na yy Hana Nia hiyo ambayo ww umeshaiamini ila umeakua na haraka tu ya kuhukumu.... Ila kama atakuwa...
Kama umevumilia miaka yote hiyo Kumi na yeye mwanao ashafika umri wa kuwa na familia yake usisubutu kufungua mdomo wako kwa mumeo labda kama unataka kutubu na ndoa iishie hapo sawa ila kama unaitaka ndoa ww endelea kukakaa kimya na usitumie nguvu sana kuweka mambo sawa kwa mwanao ataoa mda si...
Hawa watu wanajidangaya sana kwa sisi tuliozakiwa wengi kwenye familia za rasilimali chache tunajua umuhimu wa kuwa na idadi ndogo watu wanazani wachina wanazaliana kama sisi kumbe hata wazungu wanazaa kuliko wachina idadi kubwa ya wachina siyo kuzaliana tu ni wengi tu tangu mwanzo unakuta hapa...
Kuna Hawa wa mafuta ya upako na maji ya upako hao baba mchungujai akisema kesho mkesha arusha na wao hao
Lazima waende hawafai hata japo uzuri wao ni kuwa ukiwa malaya hawasumbui sana ni kumsingizia shetani na kufanya maombi na kesi imeisha
Mtu yeyote anaeunga mkono feminist aje atuletee ushuuda na ndoa yeyote ya feminist aliyeolewa na mwanaume anayejielewa na ikawa imebalance mizania fresh tu n a ww mwanaume mwenzangu ukioa feminist umenunua mateso na kuamua kuyamiliki kisheria na kitamaduni Hawa huwa tunapita na kuuwacha na...
chanzo cha matatizo yote ni kumjengea huyo mchepuko ndio majuto yake mwanao ni mjinga na ww pia hukuweza kumshauri ktk hili yaani hata mtoto hujamuona au kupata uhakika kuwa ni wako tena kwa kwa mwanamke ambaye keshazaa na jamaa mwinginge kabla yako kwann si angemhudumia tu kodi na vitu...
Daah mwanangu unajindanganya sana umenikumbusha kisa kimoja hivi enzi za ujana form 3 hiyo tupo bwenini kama kawaida Sisi wanaume ma story yetu ya hapa na pale mara ikafika mada ya jamaa yetu mmoja sijui jamaa huwa hapendi kuoga na watu wengi anaogaga peke yake kisa ni kuwa mwana ana mguuu wa...
Huyu waziri anayetushikia kibubu chetu nazani ni kwakua hajui kama unaweza kutoboa kuushika usukani ila ila huyu ni zaidi ya magu I terms of very things kwa.
Najaribu kupata kitu hapa kwa mfano ndege kama kasuku kwakua na wao wanalugha zako na kuna wataamu wanaojua kuwasiliana nao inawezekana zikawa ndio moja ya lugha za zamani ambazo hazijabadilika au kufa shida ni kuzilewa .
Wadau nisiwachoshe hiki kisa cha kweli Mimi na mke wangu tumeanza kuishi pamoja baada ya kufunga ndoa takribani miezi kama sita iliyopita ila alikuwa mjazito kwa hiyo alijifungua miezi minne iliyo pita kwa hiyo game zote zilisimamama kwa sababu ya mtoto.
Sasa kisa ni kuwa mwenzangu kawa mtu...
Hamna uli usipigwe posta ni rahisi sana hakikisha ukinunua upate tracking ID kama hawajakupa wambie wakutumie ukishapata tracking ID hakikisha unautrack kila siku ukifika posta tu siku hiyo hiyo kachukue mzigo ukishakaaka kama week pale ndo mwanya wa wapigaji wanapiga mm nishaagiza vitu vingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.