wewe jitazame nanilii yako first b4 judge anyone 'nyie ndio wenye mapungufu' unakuta m2 anajinadii ila mkifika kunako faragha unabore kila ki2,m2 anabak gogo ili 2 umalize aondokane na kero'tena wanaume mnaongoza kwa harufu mbaya kuanzia mdomom m2 unamkata stimu bado hata kunako jamaa mwenyewe
hakuna utetez wala excuse ya usaliti' uliamua kuish na mpenz wako ktk tabu na raha iweje leo vijitabia viduchu ushindwe kuvikabili.umzalishe mkeo double double achuje kwa kutomtunza utaman wa nje aliyependeza .mtunze mkeo mvalishe pamba unazoziona zinakufurahisha mapenz yatakuwa pooa'nyie...
na ujiweke sawa ktk kuchangia pesa kwa ajili ya ngoma na sare za mkeo ngoman.umeishiwa wewe mauno ki2 gan maisha kwanza na future.hao kwanza hawana future,magoli kipa hata kuwaza watoke vp hamna'utarudi kulalama hapahapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.