Kama watoto ni wezi kwenye familia tukuwafukuza jeri ni baba yao na baba hajui kama wanae ni wadokozi mpaka aambiwe na majirani basi kosa si la watoto pekee na baba, kama si mwizi ni zoba itakuwaje, hutaki kujua mienendo yao... Hili ndo kwa Kikwete na baraza lake jipya la mawaziri kila mda...
Hilo la wizara kulipia mazishi ya kanumba si rahisis kuingia akilina ila limefanywa kisiasa mno, watanzania lets try ro wake up nchi yetu bado ni maskini mno tunahitaji maendeleo ya nchi yetu no need of much politics. Amerca nchi yanye maendeleo na wasanii wanaingizi pato marekani kiasi cha dola...
acha hizo kweli israel ndo nani kama wenyewe wanamisukosuko yao huko, hawaitoi we unasema nn nend kule uon biashara ya ukahaba ilivyoshamiri ach kuongea kama ujafika hiyo nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.