Mbona chuki ni sehemu ya maisha ukifuga chuki utachukiwa tu bila kujali uko katika hali gani hayo ndio navuno
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Tumechoka kuwasikiliza sasa akiletwa msemaji mwingine ndio umeme hautakatika .hivi nyie ndio kufikiri kwenu kumeishia hapo kwa maana hiyo tatizo la umeme ni msemaji wa Shiraka sawa bac wachukuliwe wa yanga na simba ama kweli wote tunaakili tofauti ni je tunafikirije
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.