pole sana kaka!...mabinti ndivyo walivyo wanajali zaid feeling zao kuliko kingine chochote,..so si ajabu ukamfanyia kila jema malipo yake kutukanywa...unatakiwa kuishi nao kwa akili sana...be tolerant God will pave the way!...:mwaaah::mwaaah::mwaaah:
kiasili Mungu alimumba mwanaume na mwanamke kwa namna na jinsi tofauti.Mwanaume ni 'ranch chaser' while mwanamke ni 'nest defender'.Hivyo basi endapo kila mmoja atasimama katika nafasi yake hakutakuwa na ugonvi.Haki sawa kwa sasa inafanya kutokea kwa uvunjifu wa sheria asili za kimaumbile ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.