me naona ni bora akupende the way ulivyo coz akikukuta na mavitu kibao atakudharau tu na hauta mvutia may be ulimvutia coz unaipsi thn ukifika anakuta sio lazima akudharau
me naonanibora akupende the way ulivyo coz akikukuta na mavitu kibao atakudharau tu na hauta mvutia may be ulimvutia coz unaipsi thn ukifika anakuta sio lazima akudharau
kwa kweli suala la mapenzi linapaswa kutazamwa kwa umakini na pia huyo mkaka ameanza kwa kumdanganya je atakuja kuwa mkweli kwake? coz angukuwa na mapenzi ya kweli angemtel mapema
dah pole sana coz hiyo inatokana na mazoea but kama una mpenda ukiwa unamwambia kila mara aache kwa ukali atakuwa anaogopa then hiyo tabiaa itaisha kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.