Lazima ufikrie usiseme watu wajadili ujinga si ajbu hata wewe unaweza kuwa mjinga mojawapo sahihi inaweza kuwa tofauti si kwa herufi zaid ya 3 na hata mkunjo na unaposema inategemeana umesimama au umekaa kwa karatasi muhimu kama hiyo uwezi kusimama. kama daftari la waombolezaji wanaweka sahihi...
kwa kweli hii habari inaumiza sana na inatonesha vidonda ni bora waiache itafika muda wake kama BWM alikukuwa anapina maji na unga basi chaguao ni lake akoroge uji au asonge ugali ameona uzito wa maji na unga
kama ni mwadilifu na hawezi kufanya kazi katika serikali ambayo si hadilifu ni bora ajiuzuru hiyo nafasi na kama ataendelea kubakia basi atakuwa amekubaliana na anayafanya hayo madudu.Bora aondoka aweke heshima.
kesi iliendeshwa na kama wanavyosema kuzungumuza miongoni mwa pande zote ambazo ni maasimu ufumbuzi upatikna na dereva alinunuliwa Lori la kufanyia baishara, kama alikubali kuna haja ya gani tena ya kuendelea na kesi?
Poleni sana wafiwa ila ni jambo la kumshukuru mungu kuwa kidogo Peter Zakaria anabadilika ni toufauti na miaka ya 95 enza za yule IGP alikuwa na kiburi zaidi kwani alikuwa rafiki yake wa karibu na ninakumbuka IGP huyo alifanya ziara Tarime nilishuudia Zakaria alivyokuwa karibu nae na kuna wakati...
Tunakuombea kwa mungu akuzidishie wepesi na upone ila haya yote yanakutokea kwa sababu hakuweza kusema ukweli kwa Watanzania kama kuna mengi hebu tuambie walau ubaki huru katika moyo wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.