Unajua vijana wa kitanzania watundu sana... hebu wasikie hawa.
Kama umezaliwa nyota yako ya mbwa, basi usishangae kuwa mlinzi mpaka kufa kwako.
Kushupalia vitu usivyovijua, ni sawa na kuingiza vocha kwenye simu bila ya kuikwangua.
Enyi kizazi cha maandamano,jiepusheni na misafara ya ajabu kama...
mod nisaidie hivi ni ruksa kurusha habari live kutoka mahakamani! sasa kwa nini ITV hawaruhusiwi kujiunga? au sisi tunavunja sheria... ? nisaidie maana na mimi nijue
mod nisaidie hivi ni ruksa kurusha habari live kutoka mahakamani! sasa kwa nini ITV hawaruhusiwi kujiunga? au sisi tunavunja sheria... ? nisaidie maana na mimi nijue
Mkuu Kama hali ya mambo itaenda kama ilivyoshauriwa, basi mabadiriko lazima... mfano huku kwetu Temeke kuna fukuto kidogo kuhusiana na wapi iwe ofisi kuu CDM ya kata ya Mtoni. Nimejaribu kumuuliza mwenyekiti wa tawi kaniambia wanamsububiri Dk Slaa akija ndio ataamua nikaona huu ni msiba... JE NI...
hata kama huyarudii lakini kumbuka hii ni haki ya mwanafunzi kwa sababu yeye ndio aliyejibu kwanini wanafanya siri au kuna uchakachuzi kama wa kwenye KURA? lABDA NITATAKA NIMUONESHE MDOGO WANGU ILI ASIJE AKARUDIA MAKOSA NILIOYAFANYA AU AJIFUNZE YALE MAZURI NILIOFANYA
kama wanaweza kusafirisha Twiga kwa ndege watashindwa vipi kusafirisha Mitihani kwenye shule hamsini wilayani kwako. Je kuna ulazima gani mitihani yote kusahihishiwa Dar es Salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.