Eti machalii ya Arusha wako smart, stupid ass mofo. Kua smart ndo kuvizia wazungu ili upate mteremko wa maisha, we jamaa bonge moja la boya. What a dick head you're.
Ujue jamii forum ingekua na kitu kama messenger hivi ambapo waliopo online wanaweza chat privately one to one. Ingeweza kuitwa Jamii messenger. Ni mawazo yangu tu wanajamii
An eye for an eye bila hivi dunia haitokua mahali salama pa kuishi. Imagine majambazi yanayoua watu innocent kikatili unadhani kunyimwa tu uhuru wa kuzunguka mitaani ndo adhabu tosha!!? Tena kunyongwa ingebadilika iwe kuchinjwa kwa msumeno.
Hii ndio tunayoita SPOON FEEDING ambayo ni tabia yetu wabongo. Elimu yetu ipo hivi na tunaingia mtaani tukiwa na tabia hii alafu unalalamika kazi hazipatikani. Utasota mtaani kama walivyosota wafuasi wa Kibwetele.
Duh, binadamu tumekuwa wakatili kuliko wanyama nowadays. Damu ya binti huyu itawahunt popote walipo washenzy wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine ktk utekelezaji wa unyama huu.
Uwepo wa hukumu ya kifo, achilia mbali utekelezwaji wake au la, ni tishio tosha la kuwaogopesha wengine kutenda kosa la mauaji. Tukisema hukumu ya kifo ifutwe kabisa ktk sheria nauhakika mauaji yataongezeka. Mtu atamuua mwenzie akiweka akichwani kwamba adhabu yake ni kutokua na uhuru wa kuzurura...
Tar 30 Jan. waziri mkuu alitangaza kuwa madaktari warudi kazini, na kwa yeyote ambaye angepinga kutii tamko lile anakua amejifukuzisha katika sekta ya umma. Na aliahidi kuwa katika kupambana na hili yupo tayari kuchukua madaktari wa jeshi wasaidie (back-up).
Jana tar 09 Feb. amekubali kukaa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.