Fidel,
Wewe umeoa?if yes, ndoa yako ina muda gani?
Kama ndoa yako ina umri wa zaidi ya miaka mitano......try wewe mwenyewe small house...nakwambia utachonga mzinga huko!
Mkenya,
The % ages represent what has already been contributed by members out of their respective total amounts they are required to contribute...now I don't know why u saying they don't add up?
On what basis Kenya is the biggest contibutor? Read this (from the Citizen per Mz/halisi post...
KA PINGA.......!
Ubongo wako lazima utakuwa umeliwa na mchwa walio utafuna ujamaa TZ.......! Soma post zote hapo juu uone kama zinamtazamo tofauti na huo wa NL? Au ulipata chang'aa kabla ya post hiyo!
Na hicho kichefuchefu usisingizie hiyo post.....kitakuwa ni kimimba chako ulichopewa na...
Hapa sijaelewa vizuri;
Kama jana ilikuwa mwisho wa kuomba zabuni hiyo....je Tenda board ya Hazina ilikaa saa ngapi na kuipitisha Msolopa? au heading yako haijaka vyema?
Nikiacha hilo....! hicho wanachotaka kukifanya Haziza ni Ufisadi juu ya Ufisadi? Jamaani situliambiwa fedha za EPA...
Mtz,
Hizi ni pesa ambazo mabosi wa vitengo hutengewa kwa ajili ya CSR so hata kama asingechangia huko angezipeleka sehemu nyingine au kuzirudisha wizarani (note bado miezi mitatu) fedha zote zilizo bakia inatakiwa zirudishwe hazina!
Cha msingi ni kujiuliza, uchangiaji wa madarasa was the...
Kwa nini nyie watu hamuelewi kabisa defn ya Ufisadi, ubadhilifu etc Hivi huu jamaa hiyo fedha ameiba au ailokopa? kama alikopa amekataa hilo deni lake halali? Je, NSSF wanarusiwa kukopesha na sheria iliyounda taasisi hiyo? Je, huko mahakamani hukumu ilisha tolewa na iko vipi?
Jiulizeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.