Search results

  1. S

    Osama bin Laden killed!

    Hivi ni kawaida watu kuzikwa baharini?! Eti wamemzika Osama bahari! kunani hapa?
  2. S

    Ufisadi! Ufisadi?

    Ni nchi zipi duniani zimefanikiwa kutokomeza ufisadi? Kwa Tanzania mtu akiiba au kujipatia utajiri wa haraka, ndio anaitwa fisadi, je hawa ambao hawatekelezi majukumu yao ipasavyo tunawaweka wapi? Tunao viongozi mfano wa Pinda ambaye sijasikia akisemwa kuwa kajitajirisha wala kujikusanyia...
  3. S

    10 Rules For Getting Guaranteed Promotion Without Any Hard Work..

    Sorry, how does this work for academicians who are supposed to write quality research papers for promotion?
  4. S

    LOWASSA ni tishio

    Lowasa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  5. S

    LOWASSA ni tishio

    bravooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  6. S

    Maandamano ya CHADEMA yaanza kutoa matunda, makali ya maisha sasa kupunguzwa!

    Hapa suluhisho la kudumu na la maana ni kuhakikisha serikali inapunguza matumizi yasiyo ya lazima na anasa na wakati huo huo kuongeza pato la taifa kupitia uzalishaji bora na wa kutosha kutoka katika rasilimali zetu. Pia wazingatie ulinganifu wa thamani ya pesa wanazolipa kwa wazabuni na...
  7. S

    Kwa wasiomjua Magufuli, Je, anafaa kuwa Rais?

    CCM imechafuka sana, haifai tena hata kidogo; hata Sokoine na Nyerere wafufuke; CCM imepindukia kwa ufisadi na umafia; tutafute chama mbadala mapema; CCM muda waliokaa madaraka umeshawalewesha sana, sasa inatosha!
  8. S

    Kwa wasiomjua Magufuli, Je, anafaa kuwa Rais?

    Kwenye post yake sijaona kama ametaja Buzwagi, naona anaongelea Tulawaka ambayo bila shaka iko Biharamulo.
  9. S

    Lema akwepwa; Atakiwa kuleta ushahidi kwa maandishi siyo kuhutubia!

    Huyu spika wa sasa na Waziri wake mkuu wasipuzinduka na kuacha propaganda na ushabiki wa kiCCM ndani ya Bunge, wanaaibisha sana. Wabunge wengi wa upinzani ni vijana makini na jasiri sana, zile enzi za ndio mzee na nidhamu za woga na kinafiki zimepitwa na wakati. Hizi ni zama za ukweli na uwazi...
  10. S

    The Seven Traits of Skillful Leadership

    The Seven Traits of Skillful Leadership This article emphasizes the importance of refining your leadership traits along seven dimensions. It assumes that traits of leadership must be neither too hot or...
  11. S

    Why Men Should Always Listen To Women?

    That hurts! It must have been a very painful lesson!
  12. S

    Protokali imezingatiwa!

    Kwa kuwa ni sherehe za mapinduzi ya Zanzibar ambayo yalitokea kabla ya Muungano na kwa kuwa mkuu wa serikali hiyo ya mapinduzi ni rais wa Zanzibar, mwenye madaraka zaidi katika hilo ni rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na si rais wa Muungano; - Ni mawazo yangu tu!
  13. S

    Kwa waliooa tu (kitchen party kwa wanaume): Jinsi ya kumfurahisha mkeo

    "Angalizo Dont try this outside your wife utapata shida"???!
  14. S

    Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

    Kikwete anao uzoefu na uadilifu wa kutosha, apewe fursa ya kumalizia miaka yake mitano iliyobaki, 2015 ndio tuwajaribu wapinzani!
Back
Top Bottom