jamaa fulani alikuwa mfanyakaz wa hifadhi moja huko arusha sasa akawa ametenda makosa makubwa sana kwa boss wake , ndipo boss akampa adhabu huyo jamaa adhab yenyewe ilikuwa kupita hifadhini ukiwa uko uchi tena kwa miguuhalafu hifadhi yenyewe ilikuwa na simba wenge sana
baada ya jamaa kupewa iyo...
matokeo bhana nimelonga na waziri(mjomba angu) leo moniree kaniambia anaogopa kuyatoa maana hakuna wani wala tu wala sirii yaaani wa kwanza tz nzima anatokea shule ya bogwe na yeye ana fooo ya point 30:lol::A S embarassed:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.