Search results

  1. B

    Mchengerwa ni nani?

    Kwani kuna mtu anamdai?
  2. B

    Sio mabasi yaendayo kasi bali litafutwe jina lingine

    Mimi hilo la kasi nakataa ila nasema ule ni mradi wa mabasi yapitayo katika njia maalum na vituo maalum bhaaas
  3. B

    Nimepaliwa na kifupa cha samaki

    Simple kunywa maji ya Betti ya gari yasiyo tumika ndo Dawa mujarabu mi nilipona
  4. B

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    kazi za ECT ile button imeandikwa POWER,ECT NA SNOW ukiswitch power maana yake gia zinachelewa kubadilika km manual ukiweka gia unavutaaa pedo wee afu gia ingine unakanyaga mafuta weee,ukiweka snow ni nchi za barafu gia box inaongeza nguvu kwenye gia ya aina moja inayokubali hali iliyokuwepo ya...
  5. B

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    S-shift na S+shft ni Kwenye manual mode gear unazikontroo mwenyewe mkuu
  6. B

    Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Tatizo ni nchi mnazotaja kwenda Nk uk,us,Sweden Nk me walinipa permanent nilisema naenda Zimbabwe walichokaje maaana sio ulaya Wala Africa mashariki Shenzi
  7. B

    Mwenye Mawasiliano ya Rais Kikwete amjulishe hili

    Atakujibu nimemuona amesoma kabla hajakujibu cm yake imeisha chaji ndo mama salma kamletea chaji ameweka kwenye umeme kwahiyo subiri
  8. B

    Watani zangu wachaga, Je! hii ni kweli?

    Kweli ni utani ila huwa unapendeza sana huo wimbo
  9. B

    Watani zangu wachaga, Je! hii ni kweli?

    Wachaga mwisho wana wimbo wao maarufu kwenye maharusi sijui unaitwa aye aye wanashikana mikono kuzunguka wanaogopa kuibiana ha haa haaa
  10. B

    Walevi tuwekewe sikukuu yetu kutokana na mchango tunaotoa

    Kwakuwa cc ndo walipa kodi wakuu wa nji hii hatuna mengi sana tanataka heshima hii,baa zisiwe na mwisho wa kufunga,tukianza kunywa asubuhi tusibugudhiwe,tukilewa kazini tupewe vitanda vya kupumzika,ukipata ajali ukiwa umelewa hamna kesi,ulinzi tena wa polisi baa zote ,turuhusiwe kuvuta sigara...
  11. B

    Naomba kufahamu kazi ya button ya ect pwr

    Wadau hii botton inakaa karibu na gear liver ya kwenye GX100 maranyingi imeandikwa PWR NA SNOW nini kazi yake jamani
  12. B

    TBL yaonyesha sononeko lake kuhusu kuongezewa kodi kinyemela

    tena wanywaji inatakiwa waheshimiwe kwenye mabasi maofisini nk.tena mda wa kufungua baa na kufunga ufutwe wajiachiee ndo waendesha nchi hao ebo! Na wavutaji wasibughudhiwe popote pale
  13. B

    Ajali: Basi la Hood laua mmoja na kujeruhi 27

    Mmeona uzuri wa body ya mabasi original ingekuwa yale mabasi yenu yenye mabodi ya temeke hapo ingekuwa 27,28
  14. B

    Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

    uko sawa kabisa atakuwa chemba huyo keshaharibu mambo mushi wereeee
  15. B

    Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

    ishu ya samaki wa mapanki jei kei(jah kaaya) aliwaka kweli na yeyote aliempinga alionekana mnafiki mwanzo kabisa enzi hizo ari mpya na nguvu mpya ilikuwa kwenye chati haya sasa si mliumbuka kwa ukweli au mshasahau hata hii ya kagame ni swala la muda tu baadae mtajua jah kaaya alichemka
  16. B

    Wananchi Pwani kuandamana kuipinga HLRC kwa kumshitaki PINDA na Werema!!

    wapigwe tu nami nasema wapigwe tu maana tumechoka ahhh!
Back
Top Bottom