Asanteni wote kwa kunitia moyo na kunifanya ni zidi kuipenda zaidi engineering kweli hii ndo JF.Ila jamii inayonizunguka hapa kwe2 inanishawish kusoma PCB Eti niwe daktar ila moyo wangu upo kwenye uhandic coz cna interest na M.D eti kisa wanataka nilipwe mshahara mkubwa na kwa haraka.Thaq u a...
Mimi nimemaliza form 4 mwaka jana na nimefaulu mitihan yangu vizuri.Comb. Ambayo ningependa kuendelea nayo kwa A'level ni PCM coz napenda kuwa engineer ila habari nilizozisikia kwa watu mbalimbali huwa wanasema ukiwa engineer kwa Tanzania unaweza kuzunguka na vyeti vyako bila kupata kazi.Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.