Ulipataje ualimu kabla ya kujaza mkataba. Mkataba wako ungekuonesha basic yako. Je una muda gan kazini? Umeendaje benki pasipo kujua basic yako. Huwez kusema unaamuka na kwenda benki bila hata barua ya udhibitisho ya mwajiri wako? We UMEKUJA HAPA KUJUA MSHAHARA WA MWALIMU
Nilijua wote ni great thinker, kumbe wengine ni paradoxial thinker. Mpaka inaboa mtu anaanzisha maada hata haina mashiko. Basi ili nae aonekane anaweza.
Huku wilaya moja ya mbuge Baduweli-Dodoma, wamepewa hela yao jana. So msikalili eti haitotokea. Kuna wengine huku hawakuamin na kubeza eti hadi nauli hatutapewa. Nauli tumepewa na mshahara wa mwezi wa 4 tumepata. Shahidi mimi mwenyewe. Wilaya ya BAHI
Haya haya hayaaaa, walimu mlichokuwa mnasubiri sasa kipo hewan. Nenden kwenye website husika majina yameanza kuonekana kuanzia saa 9 usiku. F.A.L .S .E
Sheria na kanuni katika bara la Afrika nying tunatumia zile tulizo rithi toka kwa wakolon, na hao ndio viongiz wakubwa wanao ongoza UN, Sasa watatengua vp? Je mtaungana na mheshimiwa ........... Aliyetengua kile kifungu bungen kwa kusema ...... Kwa yeyote atakae ...... Apigwe? Mheshimiwa JK...
Halafu uzi huu ni kama taarifa, hivyo basi mtoa uzi ungekubali kutoa maelezo mazuri ili kwa mtu aliye humu JF hata kama hajasoma au hasomi UDSM basi atamtaarifu mwenzake anaesoma hapo na wala hayupo JF. Hujasoma hata ka kozi ka falsafa hapo chuon? Hujajua mwanafalsafa ni mtu muelewa na...
Kwa hiyo waliosoma UDSM, SUA na MHIMBILI ndo wanaandikaga na kujibu pumba kama zako? Kwel we ni zigo la matapishi. Ulimbuken unakusumbua na unafanya wale wengine waliosoma hapo waonekane hawafai. Mkienda kazin mnabaki kujisifu kuhusu vyuo wakati utendaji ni sifuri.
Kuna watu humu mambo ya uchama yamewakaa kwenye ubongo mpaka kero. Sasa ww unaanza kufoka pasi na ushahid wa kutosha eti kisa tetesi. Kama huyo mtoa mada anatumia kuleta chuki?. Siasa ni saikolojia na kama mburula utabaki kuendeshwa tu au kutumia eti we unajiita ni mpambanaji.
Ovyooo!!! Sasa usiasa ktk utekelezaj wa majukumu kwa wanafunz utasaidia nn. Ndan ya chama wenyewe wamegawanyika ktk makund kisa madaraka. Kwel sikolojia ya wanasiasa inawaumiza na kuwatafuna wengi.
Kuna mijaa haifikirii, hvi kwel unashabikia muungano kisa bkue band. Wakijitoa na blue band zao ndipo nasi tutajituma kutengeneza yetu. Ukitaka ujue mtoto amekua mtu mzima basi mwambie ajitegemee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.