Ndg Mh waziri Charles Kitwanga suluhisho la tatizo la msongamani na gharama kubwa kwa magereza yetu upo wazi ,Pale wizarani kuna kitengo cha Probasheni na Huduma kwa jamii wanao deal na wafungwa wa nje,kurekebisha tabia na after care service hawa watu wanatosha kabisa kuwa mbadala na suluhisho...
tena aruhusiwe na kunyonga wahujumu uchumi!Watu wanateseka na kufa !Kwa dunia hii Tanzania inahitaji utawala wa mapavu ,siyo rais wenye tabia za baby class au kendegate wakati watu wanakufa hakuna matibabu wala dawa!
Naaamini tukichambua mapungufu yetu na kuyafanyia kazi tutaendelea sana but sasa kama mtu anaona mapungufu na kusema hayo mapungu unaonekana msaliti hii haitatujenga kabisa!Binafsi nakuwa na wezangu wacdm nikiwauliza maswali ya msingi kama lilotokea Ruvuma japo niko Arusha ,wanakuwa na hasira na...
kila mtanzania anahaki ya kwenda mahakamani nakufungua shauri/shitaka lolote kwa mtu yoyote isipokuwa rais.Mwakiembe anataka kuwaminisha umma kuwa atampeleka EL mahakamani kwa kosa la Richmond,huku tukijua ni haki yake kufanya hayo,
lakini ukifika mahakamani kwa kufungua shauri haimaanishi wewe...
Mzee huyu ni kada tena mtiania ubunge Ukerewe!Ukiachana na ukada akijikita kwenye uhalisiha ni mtu mzuri sana,tena msomi wa hali ya juu tu,mwanzilishi wa taasisi ya sayansi jamii,
www.tasaja.org
Utata wa kupoteza sifa ya kugombea
Hukumu hiyo iliibua mjadala mkali kwenye mitandao ya kijamii juu ya uwezekano wa kumzuia Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni kuwania tena ubunge au urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Hata hivyo, Mwanasheria, Alex Mgongolwa akinukuu Katiba ya...
Ha ha ha trend inawashika watu sana,serikali imechoka kwanzia mwezi wa kwanza hadi leo hawapeleka hundi za malipo ya mifuko ya pensheni either mchango wa mfanyakazi na hata wa mwajiri,Je kama sikufilisika nini?Pia mjiulize mifuko ikifilisika mtamdai nani?Kama sikuwa kama wazee wa EAC-Community...
Duh kweli elimu ya uraiya inabidi itolewe kwa watanzania[/CODE]Danny greeny hujui serikali ipo kwaajili ya kuweka taratibu zote zile zinazomuhusu mtanzania,Mfano sheria ya ajira kwa makapuni binfisi dhidi ya wageni na watanzania.Pia serikali ipo kwaajili yakutengeneza kanuni na taratibu...
HA HA HA WABEBA VIRUNGU WANAKAZI,WANAISHI KWA KUTEGEMEA MAJINA,ILI HALI FAMILIA ZAO NI DUNI,WANANYESHEWA MVUA NA KULALA NA KUKU KWENYE MABANDA YAO KAMBINI,HUKU WAKITUMIA NGUVU KUBWA YA UGALI CHUMVI KUTUSHAMBULIA WAKATI TUNAWATETEA WAO.PolePT
Sijawai ona aibu kama hii serikali na Mkuu wao wanaambiwa ukweli wao wanatetea uwongo mbona mwezi jana hakuhutubia kuhairisha kama alivyofanya wezi juzi!Aibu yako hata wewe Leo!
kweli kwenye ukweli,mwongo huaibika mwisho wasiku !Sifa za kitoto bwana waachie wanao!
Tambua kuwa Ndg pia alikosea kutangaza kura ya maoni mbila kufanya tadhimimi ya wakati!Mtangazaji alikurupuka kutangaza hakutoa ushirikiano na tume katika kutangaza japo sheria ya marekebisho ya katiba inamruhusu!Lakini hii inaonyesha jinsi gani ndg zangu viongozi wa serikali hii hukurupuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.