Search results

  1. N

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    MALALAMIKO: KUHUSU KUCHELEWA KWA MAJIBU YA COVID TEST. Mbali na gharama kuwa kubwa, Majibu ya covid test yanachelewa sana. Wanasema ni baada ya saa 24 lakini siyo, ukipima leo unapata Majibu kesho kutwa. Naomba wizara tubadilike jamani, tuongeze maabara zingine. Tuko nyuma sana ukilinganisha...
  2. N

    Mbeya: Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa baada ya Lori la mizigo kuferi breki na kuyagonga magari madogo

    Ajali zinatokea Mara kwa Mara eneo hilo cha ajabu hakuna hatua yoyote au jitihada zozote tumesikia zikichukuliwa.
  3. N

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Hello habari. Maji hayatoki/yamekatika maeneo ya Kibamba, Hondogo, Delini njia ya kwenda kanisa la Sabato. Hatuna taarifa yoyote ni siku zaidi ya 5. Asante
  4. N

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Habari za kazi na poleni na majukumu, Msimu wa mvua umeisha na muda si mrefu barabara za mitaani zitaanza kurekebishwa, kwani zimeharibika sana. Nauliza mumejipanga vipi kulinda miundo mbinu ya maji isiharibiwe, bomba zisikatwe kutokana na uchongaji wa barabara? Nimeuliza kwasababu, imekuwa ni...
  5. N

    Neema yaja nchini, Intaneti kwenye taasisi za umma bure, bei ya smartphone sh 65,000

    Mahindi yanaoza Rukwa na Songea kwa kukosa soko,mchele umeshuka bei. Kwanini hizo ziara zisiwe za kutafuta soko na ushawishi wa ubora wa bidhaa zetu. Ingekuwa neema kwa wakulima..
  6. N

    Wazo la Waziri Mkuu: Kura ya Rais sanjari na kura ya maoni ya katiba

    Sio wazo zuri, kwasababu ana majibu tayari kwamba rais ajaye aikute katiba mpya. Kwa maana hiyo itapita tu kwa gharama zozote. Halafu tutawachanganya wapiga kura na watendaji. Swala la gharama isiwe sababu. Bora mchakato uanze upya kwa utawala mpya, kwasasa katiba iliyopo ifanyiwe marekebisho.
  7. N

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano 1 Oktoba 2014 - Upigaji Kura Katiba Inayopendekezwa

    Sasa matukio kama hayo ya hatari yeye 6 anaonaona sawa tu kuendelea na mchakato. Na itakuwa mbaya zaidi ikija kupigiwa kura na wananchi.
  8. N

    Waziri Mkuu Pinda kuhutubia bunge la katiba kabla ya upigaji kura rasimu

    Hii ni ishara kwamba wamechemka, ndiyo maana hawafuati utaratibu
  9. N

    Nitamuunga mkono Benard Membe 2015 kama akioteshwa kugombea urais wa Tanzania

    hivi ni yule alisema wenye safari za dar wasije kwasababu ya ujio wa Obama eti guest zote zitajaa. Maadui wake 11 watahamia KE. Kwa upande wa Diplomasia inatia shaka uwezo wake kwani ni kipindi ambacho TZ haina uhusiano mzuri na majirani
  10. N

    Nategemea kupeleka hii Hoja yangu binafsi Bunge la August 2013 kuhusu Ajira kwa Vijana

    Hivi hoja zenu bungeni huwa zinasaidia kweli, mbona Kingwangalla alipeleka pia iliishia wapi? na kabla ya kupeleka hoja mnakuwa mumefanya study yoyote? Kama umeamua kweli kusaidia vijana fikiria njia nyingine mbadala yenye matokeo chanya, lakini kupeleka hoja bungeni ni kukamilisha ratiba za...
  11. N

    Vijana wanena! Wasema Zitto, Makamba, Mbatia na Dr Hussein wanafaa urais 2015

    Jina la kikundi tu linakera, kwani kuna vijana wasio penda amani Tanzania. Rais atachaguliwa na wananchi, na mtu yoyote ana haki ya kugombea akifuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa katiba. Hawa wapenda amani wapuuzwe wenzentu wanaingiza siku, mkiona wametoa tamko ujue mwisho wa mwezi...
  12. N

    Tsh 34/day per sim card nyie wa tz kweli hamuwezi au mnaleta siasa kwenye maendeleo

    Hello Bnf, viongozi wetu ni wabinafsi sana, sijui hawajui kuna wasio kuwa na kazi au wenye majukumu. ok for example nina sim kadi 3, mke wangu ana2, mfanyakazi wa nyumbani ana 1 simu ya nyumbani. Mama yangu ana 1, baba ana 1. Utalipa sh. ngapi? na wamesahau kuwa simu ni huduma. Na hawaelewi...
  13. N

    Hoja za Mwalimu Nyerere kupinga serikali tatu Tanzania

    NAPE! Mtaendelea kudanganya wananchi mpaka lini? nini maana ya kujadili katiba mpya kama mnaweka vikwazo au mna majibu yenu wenyewe? Hivi muungano uliopo unaita MUUNGANO. Na sio kila kitu alichosema au alichofanya Nyerere kisijadiliwe au kisibadilishwe kumbuka vitu vinabadilika kutokana muda...
  14. N

    Utofauti wa Makambi ya vijana wa CCM na kinachoanzishwa na CHADEMA

    Naona mkuu umetumia propaganda zaidi kuliko uhalisia, una uhakika gani labda Chadema nao wanataka kuimarisha vijana wao kama nyie mnavyo wafanyia. Na kwanini mnalikuza sana ili swala Watanzania gani waliopata hofu wakati wanajua kuna green guard, kama si unafiki au propaganda tu. Wewe labda...
  15. N

    Waziri Mkuu Pinda angeomba radhi kwa watanzania ili kurudisha heshima yake

    It is shocking to have a prime minister who openly and clearly advocates police brutality while addressing the Parliament. Where are the social activists?
  16. N

    Kitabu cha Mch. Mtikila juu ya mauaji ya Chacha Wangwe

    Propaganda zingine ni za kijinga sana, kama anawafahamu walio muua Chacha Wangwe kwanini asipeleke ushahidi mahakamani ili wahusika wakamatwe.
  17. N

    SUGU avurugwa; amwita Mizengo Pinda "Mpumbavu"

    Mtu yoyote akikosea kauli, kuna njia nzuri tu za kumfikishia ujumbe ikishindikana mahakama zipo lakini lakini sio kutukana, . Kutukana nako ni kosa. Sasa mada imehamia kwake badala ya mh. Pinda. Ingawa kama angalizo tusiamini kila kitu toka FB.
  18. N

    Video: Waziri Mkuu akisema Jeshi la POLISI litaendelea kuwapiga Wale Wote wanaokiuka AMRI Halali

    hii nayo inakataa, ngoja nijaribu nyingine imewekwa hapo juu
Back
Top Bottom