Mkuu naona unajiondoa ufahamu unajua ya kuwa Rassia mpaka leo hakuna democrasia unayoipigia kelele.Na je yaliyotokea Misri yameleta unafuu wowote kwa wananchi wa kawaida zaidi aliondoka manajeshi amerudi mwanajeshi fikili upya punguza mihemuko
MPANDA, Sumbawanga, musoma vijijini mtoa post ametudanganya majimbo Hays ukawa wanahali ngumu sana .Na kwa taarifa tu kigoma ukawa wakibahatika watapata jumbo LA kafulila tu na ccm 1 majimbo mengine yote no kwa ACT ninauhakika na ninachokisema maana mm ndio maeneo yangu ya kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.