Habari wakuu,
Mzazi wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa sukari moyo na figo …kwa siku za karibuni hali imezidi kubadilika anashindwa hata kutembea ,,akila pia anatapika...
Nimefikia hatua ya kubadilisha hospitali labda madaktari wanatofautiana tratment na ujuzi
Kwa anaejua hospitali naomba...
Habari za wasaa wakuu.
Wakuu leo nilikuwa natafakari mwendo wa Uchumi wetu katika nyanja hizi mbili ila nikaona niwashirikishe wadau wa JF nione maoni yao .
Ila kwanza nianze na tafakari zangu binafsi kwa pande zote .
1.The Royal tour inamchango mkubwa kwasababu nchi yetu bado Uchumi wake uko...
Kuna wengine wanasema wameambiwa tarehe 19 wanahitajika HQ na wengine wanasema tarehe 19 wanahitajika ITA ( chuo cha Kodi)
Hawajaelewa wako frastuated ..
Kwa upande wangu ilikuwa rahisi maana nilikuwa nanunua computer with faults (just for parts) nyingi ni second hand na mara nyingi nilikuwa natumia facebook market place kukutana na wauzaji wa huko na wauzaji walikuwa wananiuzia kwa bei ambayo ni affordable. mfano laptop yenye shida ya...
Habari za muda wakuu.
Hapa nimepata fursa nzuri kidogo ambayo natarajia kuifanya lakini sitaki kukurupuka.
iko hivi , kuna rafiki yangu yuko canada nimemwomba anitaftie computer for parts(spare) kwa bei ya chini kwasababu kule vitu ni rahisi kidogo na akishazipata azipack halafu tuangalie...
Habari wakuu,
Nahitaji kununua betri mpya kwa ajili ya gari yangu ila ningependelea kampuni tofauti na hiyo chloride exide maana nimeitumia muda mchache sana ,kiufupi sijaipenda (au ni matumizi yangu).
Bila shaka nataka kubalisha kampuni nione kama naweza kupata kampuni tofauti na hii
Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.