Polisi kanda maalum ya Dar es salaam wametoa wito kwa Askofu Gwajima kufika kwa RCO wa kanda kwa mahojiano kuhusiana na clip anazohusishwa nazo mitandaoni akitoa matamshi makali juu ya Cardinal Pengo.
=============
Chanzo: MICHUZI BLOG
Mmkazi wa Ludewa, Mkoani Njombe, Yohana Nkwera (54) anadai kukatika miguu katika hali ya kushangaza.
Yohana anasema katika maisha yake amekuwa ni mwenye hofu kubwa baada ya kukumbwa na tukio hilo la aina yake la kukatika miguu akiwa usingizini. Anasema hadi sasa haelewi namna hasa tukio hilo...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila anatarajia kufungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga kuendelea kwa mchakato wa mabadiliko ya Katiba Mpya.
Mchungaji Mtikila akizungumza na gazeti hili alisema, madhumuni ya kufungua...
By Athiaan Majak Malou, December 24, 2013
The current political crisis which has also taken ethnic dimension has its roots in 1991 split within the then Rebel Organisation called Sudan Peoples Liberation Movement/Army (SPLM) now turned the ruling party.
Since its inception in 1983, Dr...
BY FATOU BENSOUDA
Today, I filed an application with the judges requesting an adjournment of the provisional trial date in the case of the Prosecutor v. Uhuru Muigai Kenyatta (ICC-01/09-02/11).
My decision is based solely on the specific facts of this case devoid of extraneous...
Alhamisi ya jana tarehe 14/11/2013 ni siku nyingine nyeusi katika vitabu vyetu vya historia, Kamishna wa Polisi(CP) na Kamanda wa Kanda Maaalum ya Dar es salaam Suleiman Kova ameripotiwa akisema maneno ambayo kwa hakika yanaumiza na hayatupi mustakabali mwema siku za mbeleni. Afande huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.