Kwa maana hiyo sheria iliyopitishwa na wanaosinzia bungeni na kula posho ndo SULUHISHO la wanyonge?
This is not only half crazy thinking but totally CRAZY,...ndo maana watu wameanza kupata BP na kufa haraka kabla hata ya miaka 45 hii ni hatari...let us take action wanachama PPF,PSPF,NSSF wooote...
Kiukweli hii topic ni ya ajabu sana lakini kwa vile kila mtu anauwezo wa kubofya na kuandika chochote ni RUKSA!!
Ole wenu nyie Mamluki/wavivu wa kufikiri!!
Ebu nenda upande wa pili wa shilingi huyu RIP wetu nani kama yeye nchi hii?
Ebu kwendeni zenu!!!!
Nimeipenda hii hip hop kama sio shairi, walihitaji dogo janja sio kubwa jinga!!
I listened to this young man Nasari, infact pamoja na kukesha usiku kucha hapo, jamaa aliongea kwa uhakika kama yalivyonukuliwa maneno hapo juu.!!
Jamani mtoto anatisha big up!!
:A S angel::A S angel:
It seems nowdays students read online unnecessary things, and the necessary ones are for the grown up person only!!
the wazazis' plse take note of the results!!!
what does this implicate?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.