Mkuu,tunachohitaji ni kwao ni heshima,hawanaga Upendo kwetu.Na hawa viumbe,jinsi gepu umri linavyozidi kuwa dogo,na heshima yao huwa ndogo hivyo hivyo,japokuwa mimi nashauri gepu lisizidi miaka 10++
Yaani nilichogundua hawa wenzetu funga yao wanaifanya kama adhabu, wanaifanya kwa kuogopana binadamu vs binadamu na sio binadamu vs MUNGU.
Yaani ingetokea mtu yuko porini ambako hawezi kuonwa na mtu yoyote,sidhani kama angeweza kufunga,kwasababu huko porini hakuna unafki wa kumuonesha mwenzio...
Mkuu,sidhani kama mleta mada kaandika au ku paste yote haya ili kujionesha yeye ni msomi sana.Lengo lake ni kushea na sisi kizuri anachokijua na kile alichokiona au kukipata huko alikokipata.
Ok,una haki ya kuchagua wa kumpa,uliamua kuwapa wale wa kupiga na kusepa,huyu mwenye nia njema na wewe unamnyima.
Utasema kwamba huna imani kwamba atakuoa,wale uliowapa kabla ulikuwa na Imani nao au imekaaje hii?Unaweza hata kumkazia usimpe,lakini akala baada ya ndoa na akaona mzigo sio...
Kabisa aisee,wanawake wanaofanya hivi huwa wanadhani wamemzidi ujanja na kumkomoa mwanaume,lakini kiukweli anakuwa amewakosea na kuwadhulumu watoto wake haki ya kumjua baba yao halisi,haki ya kujua chimbuko na asili yao.Pia kuwajus nfugu xao halisi wa damu.Hii yote inatokana na tamaa na ubinafsi...
Yaani mimi ni mkristu,lakini ukristu upo kinafiki sana,unalazimisha mambo ambayo hayawezekani kibinaadam.Huwezi kulazimisha watu ambao hawapendani hata kidogo,waendelee kuishi pamoja eti kwa hofu ya dini.
Yaani mimi toka nilipoelewa kwamba wanaume huwa hatupendwi na wanawake hata siku moja,wao hawatuhitaji,ila sisi ndo tuna shida nao..moyo wangu umekuwa na Amani sana,sisumbuki wala kuvurugwa akili na hawa viumbe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.