Siku kama kumi sasa kila ikikaribia taarifa ya habari ya saa mbili usiku umeme unakatika na kurudi mpaka taarifa ya habari iishe. Hapa Mwaza ndio madai ya wananchi wengi hawaelewi kwa nini mgao wa umeme ni wakati huo.
Nilishawahi kuelezea ndoto yangu ya kugombea udiwani nilipokuwa bado nasoma katika chuo kikuu cha sayansi na tiba Bugando (CUHAS bugando).
Actualy watu walinishambulia sana kwa nini nataka kuwa mwanasiasa badala ya kumaliza chuo na kwenda kuwatibu watanzania wanaoteseka. Ni kweli ningependa...
kutofanya vizuri jimboni au Bungeni kisiwe chanzo cha kukashifu elimu za watu. Nani hafahamu kuwa Dr.Kamani ni daktari msomi tu na vyuo alivyosoma vinajulikana kabisa. Labda dr Chegeni ndo degree zake kidogo hazijulikani. Jimbo la Busega lina changamoto nyingi sana zinazochangia maendeleo kuwa...
Wana jamvi kama tank la great thinkers tujaribuni kushauri ama kupendekeza mambo ya kufanya ili kunusuru hali tete inayotokea mtwara bila kuathiri usalama wa nchi na raia kwa ujumla! toa pendekezo kwa manufaa ya nchi bila kujali itikadi ya chama.
Ni mda mrefu sasa migogoro ya uchinjaji nyama baina ya wakristo na waislamu. Napendekeza hili swala kuwe na taasisi ya kuchinja ambayo itajumuisha wataalamu wa masuala ya afya ya wanyama na mabwana afya kwa maslahi ya afya ya watanzania pia ukiacha kuondoa mgogoro wa kidini. Hii taasisi...
Hiyo kitaalamu tunaita antepartum haemorrhage (APH). Ikitokea ni kweli inamaanisha ujauzito upo hatarini. Sababu kubwa huwa ni kushika kwa kondo sehenu isiyo sahihi(placenta praevia). Na hili tatizo linahitaji bedrest!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.