du iyo bei huwezi kupata mpaka liwe mkononi ni mil 90 pale bandarin wanakula fees mil 30 kwa gari kama iyo.nakushauri bora ufikirie gari ingine kama tata au volswagen au benz mbona nazo ni za pekee
Leo katika pita yangu mtaani nakutana na walimu wanalalamikate eti wamefunga shule ili washiriki zoez la sensa lakin badala yake wamechukuliwa watu wa mtaani na maofisa. je kuna ukweli kuwa wameachwa kutokana na mgomo ulifanya?wadau 2peane ushauri kwani wanasema zoez hilo linaitaji watu wenye...
ok bro nimekupata
Tatizo kubwa ni la kisaikolojia inaonekana una mwanamke mwingine zaid ya huyo.
Je wakati unaanza naye mlikubaliana nini au mlikuwa unajipatia burudani.
Kweli ni kwamba ukiendelea kuish naye unaumia moyo piga nikushauri +255757788363
Katika mkoa wa Kilimanjaro:
Katika shule za msingi walimu wakuu wameonekana wakiwahi shuleni huku wakiwa hawaelewi mgomo upo vipi "Mi siwezi kugoma nimebakiza mwaka mmoja kustaafu" mwalimu mkuu mmoja alisema.
Hali hii inaonekana kuwa mgomo huu hauna nguvu walimu wakuu wanawalazimisha walimu...
emh inabid nigune kwa sababu habar za leo siziamin hata watu wa arumeru hajaenda kupiga kura kutokana na kile walichotangaziwa kuwa uchaguzi umeahirishwa
hi hapo kweli ila upo uhusiano kuwa walaji wa ndizi na samak wana akili sana hasa mtoto anapokuwa mdogo ndizi zina asili ya kuimarisha ubongo uliza wataamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.