Huyu jamaa tumjibu kwa hoja jamani..wacha nikupe sababu zinazonipa matumaini ya kukipoteza hiki chama chetu magumashi pale Arumeru.
1.Daima CCM wamekuwa watoaji wazuri wa ahadi zisizotekelezeka.Wanapanga mipango na sera wakiangalia zaidi shibe ya leo bila kutazama njaa ya kesho...
Kwa kweli wazo hili lina kila sababu ya kuungwa mkono na yeyote mwenye upeo wa kupambanua mambo..Viongozi wetu wanafahamu fika uduni wa huduma zetu za afya hapa nchini.,wanafahamu mazingira mabovu ya wodi tulizo nazo,upungufu wa vitendea kazi na uhaba wa wahudumu.Lakini badala ya kutumia nafasi...
Daima wajuzi wa mambo wanatufundisha kuwa, tunapotaka kupata ukweli wa mambo, tuziruhusu nafsi zetu ziongozwe na uhalisia na hoja badala ya hisia na imani.Wanaomrushia vijembe Dr.Slaa hawana nia njema na taifa hili. Niwashauri kitu kimoja cha msingi; Tafuteni kwa kina mitaala ya vyuo mbalimbali...
sina shaka kuwa huu sio wakati sahihi wa kuwatusi,kuwahukumu au kuwaponda viongozi ndani ya CHADEMA..kazi wanayofanya ni kubwa kwa kweli,kama sio juhudi zao,matumaini yangekua yamepotea kabisa Tanzania..tuwape moyo ili waendelee kufanya kaz vema.2ccte pia kuwarekebisha,co kuanza kupendekeza...
shida moja ni kuwa,mnashindwa kusoma alama za nyakati...migogoro yenu,kujadili hoja zisizo na tija na kutokujishughulisha kwenu na wananchi kunawamaliza...malizieni kwa amani kabla ya anguko kuu linalofuata..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.